Msama promotions, Kwanini mnachanganya dini na siasa?

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Jul 21, 2021
14,304
29,837
Habarini wakuu??

Aiseee hii nchi mimi inanishangaza sana.
Dini zetu zimeanza kuiingiwa na siasa kwa kiasi ambacho MUNGU anaweza kuchukizwa,miaka yote tumeshuhudia tamasha la pasaka likiwa limebeba ujumbe mbalimbali ambao ni wa kibiblia au kijamii(ikiwemo kutoa misaada kwa watu wenye shida).

Ila mwaka huu Tamasha hili limebeba jumbe mbili ; (i) KUSIFU NA KUABUDU
(ii) KUPONGEZA MIAKA 2 YA SAMIA

kama kupongezwa samia kapongezwa sana YATOSHA, Kwanini mnalazimisha mambo mengine ambayo yanaweza yakagawa Watanzania.

Tunafahamu fika kuwa watanzania tumegawanyika katika makundi mawili
(i) wenye imani na samia
(ii) wasio kuwa na imani naye

sasa kwa mjumuiko wa dini yetu kwanini mnataka kutugawa??

Watu wengine tunakuja kwnye tamasha kuomba toba na uponyaji wa kiroho na si masuala ya pongezi za wanasiasa ambao kutwa tunaumizana vichwa juu ya maendeleo ya nchi.

(Kama mna mahaba mazito mpongezeni hukohuko)

JITAFAKARINI!!!!!!!!

————————————-

KWANINI MGENI RASMI NI NAPE?????

Kwa uamuzi huu siwezi na rudia siwez kuhudhuria hii tamasha kwa msimamo wangu.

Iweje out of all people mgeni rasmi awe huyu?

siwez nkawa nafumba macho naabudu MOLA wangu afu nkifumbua jicho kuangalia kwenye stage namuona mtu ambaye amenisababishia machungu na maumivu juu ya maamuzi yake mabovu na ya hovyoo juu ya miamala, bando na sekta ya mawasiliano kiujumla.



IFIKE HATUA TUMUHESHIMU MUNGU WETU YEYE KAMA YEYE SIYO KUCHANGANYA VITU VINGINE KAMA SIASA IBADANI.


MSAMA PROMOTION UMENIKWAZA!!!! NA SIJI KWENYE TAMASHA LAKO.

NA UJIREKEBISHE LA SIVYOO UTAPATAA LAANA ISIYOEPUKIKA YA MWENYEZI MUNGU


“YA KAISARI MPE KAISARI NA YA MUNGU MPE MUNGU”
 
Msama mnafiki Sana. Nakumbuka kwenye tamasha moja la pasaka mwaka 2014 aliwakandia UKAWA . Nilishangaa Sana.
 
Wanasiasa wameshawawin watu wa dini, halafu kuna wasiojielewa wanakwambia nchi hii tunaiongoza sisi, mara rais lazima apige goti sijui kwa mwanya, nabaki kucheka tu
 
Aliwahi kusema mwanasiasa moja "nchi hii kwa Katiba iliopo raisi anaogopwa kuliko Mungu"
Kabudi alishawahi kumwita Magu Mheshimiwa Mungu.
JamiiForums1871744660.gif
 
Msama mnafiki Sana. Nakumbuka kwenye tamasha moja la pasaka mwaka 2014 aliwakandia UKAWA . Nilishangaa Sana.

Huyu jamaa hafai kbsa, Ameanza kulewa umaarufu long time.

hivi kweli nikamuambudu MUNGU tena hapohapo niabudu MIAKA 2 ya SAMIA???

upumbavu
 
Mnashangaa nini sasa acheni upuuzi sikuzote si mnashangilia inchi ipoendeshwa na makasisi wa kanisa na sheria za bibilia sasa hao mnao waona apo ndowenyenguvu za kupitisha sheria zenu za kipuuz waabuduni2
 
Mnashangaa nini sasa acheni upuuzi sikuzote si mnashangilia inchi ipoendeshwa na makasisi wa kanisa na sheria za bibilia sasa hao mnao waona apo ndowenyenguvu za kupitisha sheria zenu za kipuuz waabuduni2
Natamani ungesoma ukaelewa ingependeza sana. Maana nahisi umejibu kwa makasiriko zaid kuliko kutoa hoja
 
Msama alianza kuwa Mtanzania kabla ya kujua biblia, acheni lawama za kipuuzi , wenye kuelewa mambo watakwenda kwenye tamasha kama kawaida
 
Habarini wakuu??

Aiseee hii nchi mimi inanishangaza sana.
Dini zetu zimeanza kuiingiwa na siasa kwa kiasi ambacho MUNGU anaweza kuchukizwa,miaka yote tumeshuhudia tamasha la pasaka likiwa limebeba ujumbe mbalimbali ambao ni wa kibiblia au kijamii(ikiwemo kutoa misaada kwa watu wenye shida).

Ila mwaka huu Tamasha hili limebeba jumbe mbili ; (i) KUSIFU NA KUABUDU
(ii) KUPONGEZA MIAKA 2 YA SAMIA

kama kupongezwa samia kapongezwa sana YATOSHA, Kwanini mnalazimisha mambo mengine ambayo yanaweza yakagawa Watanzania.

Tunafahamu fika kuwa watanzania tumegawanyika katika makundi mawili
(i) wenye imani na samia
(ii) wasio kuwa na imani naye

sasa kwa mjumuiko wa dini yetu kwanini mnataka kutugawa??

Watu wengine tunakuja kwnye tamasha kuomba toba na uponyaji wa kiroho na si masuala ya pongezi za wanasiasa ambao kutwa tunaumizana vichwa juu ya maendeleo ya nchi.

(Kama mna mahaba mazito mpongezeni hukohuko)

JITAFAKARINI!!!!!!!!

————————————-

KWANINI MGENI RASMI NI NAPE?????

Kwa uamuzi huu siwezi na rudia siwez kuhudhuria hii tamasha kwa msimamo wangu.

Iweje out of all people mgeni rasmi awe huyu?

siwez nkawa nafumba macho naabudu MOLA wangu afu nkifumbua jicho kuangalia kwenye stage namuona mtu ambaye amenisababishia machungu na maumivu juu ya maamuzi yake mabovu na ya hovyoo juu ya miamala, bando na sekta ya mawasiliano kiujumla.



IFIKE HATUA TUMUHESHIMU MUNGU WETU YEYE KAMA YEYE SIYO KUCHANGANYA VITU VINGINE KAMA SIASA IBADANI.


MSAMA PROMOTION UMENIKWAZA!!!! NA SIJI KWENYE TAMASHA LAKO.

NA UJIREKEBISHE LA SIVYOO UTAPATAA LAANA ISIYOEPUKIKA YA MWENYEZI MUNGU


“YA KAISARI MPE KAISARI NA YA MUNGU MPE MUNGU”
Kwa kweli huu ni ujinga
Nilipanga niende ila baada ya kuona harufu ya siasa nikaona huu upumbavu..
Muda wa kumpa Mungu ati tuanze kusikiliza serekasi za siasa..watugeuze mazombie ya kupigia siasa zao.

Miaka yote wanakuwepo tu viongozi wa kidini,,
Mwaka huu wanapachika wanasiasa,,
Nao walivyotaka kucheza na akili za watu sasa,wameita waimbaji wenye ushawishi na kumpeleka Mwamposa ambaye kwa sasa ana ushawishi sana nchini.

Hili tamasha wasingeanza kupachika siasa kisanii basi nahisi lingebamba zaidi ya litakavyokuwa..
 
Back
Top Bottom