Fabolous
JF-Expert Member
- Sep 23, 2010
- 2,509
- 2,695
Mkuu yote uliyoandika nilikua nataka niyaandike umeniwahi sina cha kuongezaHutaiona mkuu ni uhayawani tu na mapenzi ya chama kutoka kwa msajili wa vyama. Hizi nafasi bora ziwe zinatangazwa internationally ili tupate expatriate wa kusimamia vyama vya siasa. Wananchi waliitwa malofa na wapumbavu, huyu mgonjwa wala hakusikika kufunua kopo lake! Kule Zanzibar watu wakaitwa Hizbu na Waarabu Koko tena wanaambiwa watoke nchini kwao waende kutawala Oman, huyu mgonjwa hakufunua kopo lake! Wakati wa kampeni Lowassa ametukanwa weeeee huyu mgonjwa bado tu hakuthubutu kufunua kopo lake! Sasa leo anajidai kujua sheria, hebu atupishe huko ni bora angevaa koti la kijani tu ili tujue moja!!