Msafara wa Makamu wa Rais Mbeya....

Popoa mawe style!watu wa mbeya ni hatari,hamna staha hata kwa watawala wenu wa nchi,mnawafanya waogope Mbeya kama vile sio sehemu ya Tanzania bhana!

Mkuu, kilichotokea ni kwamba asubuhi ziliwekwa bendera za CCM barabarani maeneo hayo. Lakini vijana wanaodhaniwa ni wa CDM waliziondoa. Hiyo ikawa chanzo cha hofu kwamba labda wamedhamiria kufanya ndivyo sivyo: chanzo cha spidi wakati wa kurudi!
 
tatizo la viongozi wa Serikali ya CCM, wanachanganya UCCM na shughuli za serikali na wanachi wa sasa sio wa miaka ya 2000 na kurudi nyuma....
 
Jamani, watawala wabadilike, bila kubadili style ya kuwa grade watanzania tutashuhudia mengi zaidi ya haya. Sasa ni mbeya, kesho utakuta tabora inaogopeka.
 
Makamu wa Rais Dk.Mohammed Bilal amepita muda si mrefu eneo la Mwanjelwa jijini Mbeya akiwa na msafara wake wenye magari kadhaa.

Kilichoshitua watu wengi ni ile kasi ya mbio za mwenge waliyopita nayo bila kujali kwamba wananchi walijipanga kwa wingi barabarani ili waweze kumsalimia kiongozi wao japo kwa kumpungia mkono.

Kasi waliyopita nayo ilipelekea wananchi kadhaa walikuwa katika vikundivikundi wabakiwakijiluiza kulikoni? Wengine walikwenda mbali zaidi na kudai "ameshauriwa na viongozi wa CCM kwamba eneo hilo ni hatari hivyo wapite kwa spidi kali kama vile wanakimbiza mwenge kwa hofu ya kupopolewa?"

Hapo Mwanjelwa hamtabiriki; miaka kadhaa iliyopita JK alopopolewa hapo, halafu haya manung'uniko ya wabunge wenu wanougua maradhi ya kawaida kudai wamenyweshwa sumu
 
tatizo la viongozi wa Serikali ya CCM, wanachanganya UCCM na shughuli za serikali na wanachi wa sasa sio wa miaka ya 2000 na kurudi nyuma....

Uko sahihi.Hilo limetajwa pia katika mazungumzo ya baadhi ya wananchi waliokuwepo eneo hilo
 
Jamani, watawala wabadilike, bila kubadili style ya kuwa grade watanzania tutashuhudia mengi zaidi ya haya. Sasa ni mbeya, kesho utakuta tabora inaogopeka.

Lazima kuwe na kitu cha kujifunza ili kurekebisha hali hii kwa siku zijazo
 
Mkuu, kilichotokea ni kwamba asubuhi ziliwekwa bendera za CCM barabarani maeneo hayo. Lakini vijana wanaodhaniwa ni wa CDM waliziondoa. Hiyo ikawa chanzo cha hofu kwamba labda wamedhamiria kufanya ndivyo sivyo: chanzo cha spidi wakati wa kurudi!

I wish Dar na Moro zingekua kama Mbeya,huko kuna watu wanaojielewa,hawataki kushikiwa akili
 
Back
Top Bottom