Naomba mchango wenu wa mawazo wanajamii
kuna mdada anajirengesha kwangu ila mimi sina mpango nae
sasa jana usiku katuma sms ktk simu yangu akilalamika kwamba namtesa
ksababu najua ananipenda ndio maana namletea mapozi sasa kibaya zaidi wife ndio mtu wa kwanza kuiona sms ameniwashia moto akinituhumu kwamba nammega yule demu nimejaribu kumuelewesha hanielewi kabisa na ameshaenda kushitaki kwa wazee wangu kwamba mimi sio muaminifu ktk ndoa so jpili natakiwa ktk kikao na wazee.je waunwana mnanishaurije?
kuna mdada anajirengesha kwangu ila mimi sina mpango nae
sasa jana usiku katuma sms ktk simu yangu akilalamika kwamba namtesa
ksababu najua ananipenda ndio maana namletea mapozi sasa kibaya zaidi wife ndio mtu wa kwanza kuiona sms ameniwashia moto akinituhumu kwamba nammega yule demu nimejaribu kumuelewesha hanielewi kabisa na ameshaenda kushitaki kwa wazee wangu kwamba mimi sio muaminifu ktk ndoa so jpili natakiwa ktk kikao na wazee.je waunwana mnanishaurije?