ubaya au uzuri wa laptop unategemea na aina na sifa ya laptop husika pia matumizi ya mtu. Laptop inaweza ikawa mbaya kwangu kutokana na matumizi yangu lakini inaweza ikawa na uzuri kwako kutokana na matumizi yako ni vyema kama ukinieleza unatumia laptop ya aina gani na kwa matumizi gani ili nijue kama inakufaa au la.
Kwa jina la "Samsung", ni kutumia common sense na kujiuliza. How dedicated they are katika kutengeza laptops? Sisemi kama ni mbaya, lakini ipo nyengine bora one of thoooosee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.