Asante sana kaka ila nadhani siku jiunga kwa sababu ya ile habari ya Bish.Kakobe bali nimejiunga huku JF niweze kupanua mawazo na pia kutoa mawazo yangu maana najua hiki ni chombo huru sana na kina watu walio pevuka kikweli kiweredi na kimtazamo na pia kwenye tafakuri za maaana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.