tototundu
Senior Member
- Jul 29, 2009
- 198
- 40
Juzi Tigo walinitumia message ya jinsi ya kujiunga na package ya intaneti ya STANDARD WEEk kupitia simu yangu yenye uwezo wa kujiunga na mtandao wao wa 3G kwa shilingi 4500 kwa wiki.
Unatakiwa kutuma SMS yenye neno STANDARD WEEK kwenda namba 1...., hiyo namba ndiyo nimesahau na message nilifuta.
Naomba mwenye kujua hiyo namba anijulishe humu tafadhali.
Unatakiwa kutuma SMS yenye neno STANDARD WEEK kwenda namba 1...., hiyo namba ndiyo nimesahau na message nilifuta.
Naomba mwenye kujua hiyo namba anijulishe humu tafadhali.