Msaada Whatsapp

Infopaedia

JF-Expert Member
Oct 28, 2011
1,231
1,487
Wakuu nina tab yangu Galaxy Note, nilikuwa natumia whatsapp kwa line ya Voda. Baada ya kubadili line na kuweka airtel , whatsapp imekataa kufanya kazi. Nime uninstall na ku install tena lakini bado. Ina install kama kawaida. Nikifungua inafunguka kama kawa then inaomba niingize number ya simu. Nikiweka ok , ita search mpaka basi. Sometimes inasema no network. Lakini ku-surf na-surf
 
Jaribu kuangalia internet settings zako..esp APN settings...hakikisha kwenye APN pameandikwa neno internet, hiyo ni universal APN....au angalia af utujuze kwenye APN pameandikwa nini?
 
Jaribu kuangalia internet settings zako..esp APN settings...hakikisha kwenye APN pameandikwa neno internet, hiyo ni universal APN....au angalia af utujuze kwenye APN pameandikwa nini?
Haya mkuu, ngoje niangalia. Issue nyingine pia, niki-tether na hii lne ya Airtel ina-connect. Lakini inakuwa haina Internet access.
 
Wakuu nina tab yangu Galaxy Note, nilikuwa natumia whatsapp kwa line ya Voda. Baada ya kubadili line na kuweka airtel , whatsapp imekataa kufanya kazi. Nime uninstall na ku install tena lakini bado. Ina install kama kawaida. Nikifungua inafunguka kama kawa then inaomba niingize number ya simu. Nikiweka ok , ita search mpaka basi. Sometimes inasema no network. Lakini ku-surf na-surf

weka hiyo line ya voda kwenye handset ingine weka on.....rudi kwenye tab yenye airtel fungua whatsaap...ingiza namba ya voda halafu register subiriahadi ikuulize whatsapp code, code itakuwa imtumwa kwenye voda line via sms and you will be done
 
weka hiyo line ya voda kwenye handset ingine weka on.....rudi kwenye tab yenye airtel fungua whatsaap...ingiza namba ya voda halafu register subiriahadi ikuulize whatsapp code, code itakuwa imtumwa kwenye voda line via sms and you will be done
Asante sana mkuu kwa msaada wako, ila Big Diamond ameshamaliza. Alinipa trick ya ku-change APN na inafanya kazi.
 
Jaribu kuangalia internet settings zako..esp APN settings...hakikisha kwenye APN pameandikwa neno internet, hiyo ni universal APN....au angalia af utujuze kwenye APN pameandikwa nini?
Wewe kweli ni Big Diamond. It works like charm. Yaani baada ya kubadili APN tu, whatsapp imekubali. Nimefurahi sana coz ilikuwa ina-eat brain yangu. Asante sana mkuu. Jf ni zaidi yaa................. u name it!!
 
Back
Top Bottom