Msaada wenu tafadhali

DA HUSTLA

JF-Expert Member
Mar 5, 2012
3,663
3,882
Jamani wadau naomba mnijuze kuhusu haya mambo mawili tafadhali,1.hivi nini maana ya proxy na nini matumizi yake.2.nina modem yangu ya vodafone nimei unlock tangu mwaka jana na ninatumia airtel chip,sasa hivi yapata wiki 2 nilikua na tatizo la kushindwa kuconnect(unable to connect),sasa hivi ina connect vizuri ila website zote inakubali isipokua facebook,kila nikitaka kuingia facebook naishia kupata home page tu nashindwa ku log-in yaani speed inakua ndogo balaa inakua inaendelea tu ku load endlessly,naomba msaada wenu.
 
Back
Top Bottom