Kiukweli napenda kuangalia taarifa ya habari ya star tv coz iko makini si kama upuuzi wa tbc1.naomba anaejua kuchakachua anisaidie mi npo arusha nimeona kuna jamaa wanaziona hz chanel za itv na star
vpi moshi imeshindikana jamani maana mara kwa mara tumekuwa tukiomba mtusaidie lakini
kimya kinatawala.tusaidieni na cc hku moshi tufaidi matunda jf techn, chief mkwawa na wengine mko wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.