CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,863
- 686
Hapana CPU, sikutimui kivile, najaribu kuonesha position zenu tu.
Kwamba wewe uijue position yako, ili mbele ya safari usinabadilikie lol!
Sasa my dia ulitegemea nitakubadilikiaje? Kwa kukutaka au? Mbona nimeshakutaka sana tu???:twitch:
Afadhali manake Naona ameshaanza bifu la kichini chini, anaweza akanichunia kabisa huyu!!
Hata nisimuulize kitu!!
La la la la la la la la la la la
Wewe ni mke wa PM nini?