mchakachuaji192
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 366
- 68
wana JF ni matumaini yangu mko wazima na waliomahospitalini tuko pamoja nao ktk maombi ili wapone na kuendelea na majukum yao ya kila siku, wakuu bila kuwachosha mie naomba kusaidiwa kuhusu maeneo mbalimbali yanayofaa kuwekeza katika uchumi wa hii Tz yetu (kwa maana mradi/biashara) wenye kuleta mafanikio nina wakilisha nikitegemea kupata response nzuri kwenye jukwaa hili lenye watu wenye upeo wa ku-share mawazo waliyonayo na wengine.
Wakuu nawashilisha
Wakuu nawashilisha