JoJiPoJi
JF-Expert Member
- Aug 8, 2009
- 2,907
- 3,261
Salam wadau,
Kati ya vitu ambavyo ilikuwa ndoto yangu tangu utotoni ni kufanya kazi za kijasusi, ila kwa bahati mbaya au nzuri sikufanikiwa. Sasa baada ya juhudi zangu binafsi nimefanikiwa kwa kiasi fulani kupata mafunzo na mbinu kadhaa za kufanya kazi hiyo ya kijasusi.
Ila kwa bahati mbaya baada ya kushiriki na kumaliza hayo mafunzo nimeshindwa kuyatumia na hatimaye hadi sasa sijapata kuona manufaa yake baada ya kushindwa kuomba kazi kwenye taasisi zinazohusiana na kazi hizo hususani jeshi la polisi na usalama wa taifa, kwa kuwa hawana utaratibu wa kuajili watu kwa kazi hizo, ila wanachofanya ni kufundisha watu wao kwa ajili ya kazi hizo.
Sasa baada ya kutafakari hilo nimeamua kufikiria kuanzisha kampuni ambayo itajishughulisha na kufanya upelelezi kutokana na mahitaji ya muhusika, Sasa kwenye hilo ndipo ninahitaji kujua
1. Je katiba yetu inaruhusu kuanzishwa kwa taasisi binafsi itakayo jishughulisha na upepelezi
2. Kama inaruhusiwa je ni wapi pakuanzia ili nikamilishe hili, na gharama na mahitaji yake zikoje
Noambeni msaada wenu katika hili
JoJiPoJi
Kati ya vitu ambavyo ilikuwa ndoto yangu tangu utotoni ni kufanya kazi za kijasusi, ila kwa bahati mbaya au nzuri sikufanikiwa. Sasa baada ya juhudi zangu binafsi nimefanikiwa kwa kiasi fulani kupata mafunzo na mbinu kadhaa za kufanya kazi hiyo ya kijasusi.
Ila kwa bahati mbaya baada ya kushiriki na kumaliza hayo mafunzo nimeshindwa kuyatumia na hatimaye hadi sasa sijapata kuona manufaa yake baada ya kushindwa kuomba kazi kwenye taasisi zinazohusiana na kazi hizo hususani jeshi la polisi na usalama wa taifa, kwa kuwa hawana utaratibu wa kuajili watu kwa kazi hizo, ila wanachofanya ni kufundisha watu wao kwa ajili ya kazi hizo.
Sasa baada ya kutafakari hilo nimeamua kufikiria kuanzisha kampuni ambayo itajishughulisha na kufanya upelelezi kutokana na mahitaji ya muhusika, Sasa kwenye hilo ndipo ninahitaji kujua
1. Je katiba yetu inaruhusu kuanzishwa kwa taasisi binafsi itakayo jishughulisha na upepelezi
2. Kama inaruhusiwa je ni wapi pakuanzia ili nikamilishe hili, na gharama na mahitaji yake zikoje
Noambeni msaada wenu katika hili
JoJiPoJi