Venusto
Member
- Jun 19, 2013
- 27
- 14
Gari yangu ni Rav4. Kuna buton nikibonyeza inawaka taa nyekundu, kwakweli sijui kazi yake! msaada tafadhari
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana kwa kunijuzaHiyo inaitwa rear window defroster. Ikiwa on inapasha joto kioo cha nyuma cha gari kuondoa maji au umande ili uweze kuona vizuri.
Nashukuru sanaInatumika zaidi kwenye nchi zenye theruji na barafu.
defrost
/diːˈfrɒst/
verb
free (the interior of a refrigerator or freezer) of accumulated ice, usually by turning it off for a period.
(of a refrigerator or freezer) become free of accumulated ice, usually by being turned off for a period.
"she opened the door to let the fridge defrost"
thaw (frozen food) before cooking it.
"defrost the turkey slowly"
kutoka: 22D Arnold st.
Duu si yake lakini ? Unafikiria kila mtu anaishi Masaki kwamba kila sehemu lami vumbi hakuna ?
Umemjuza vizuri...pia namshuri asiiwashe kama yupo Dar na jula saa saba mchana linawaka...Hiyo inaitwa rear window defroster. Ikiwa on inapasha joto kioo cha nyuma cha gari kuondoa maji au umande ili uweze kuona vizuri.
Asante kwa ushauri wako, nipo Mkoa /Wilaya yenye baridi sana hapa Tz ingawa sijawahi washa nadhani sasa nimejua matumizi yake.Umemjuza vizuri...pia namshuri asiiwashe kama yupo Dar na jula saa saba mchana linawaka...
Kwa sisi tulio Arusha mara nyingi sana tunaitumia kuanzia mwezi wa nne mpaka wa saba huko...kunakuwa na ukungu asubuhi na jioni
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah! Inafanana kabisa na ile ya kim John u ya kufyatua makombora ya nyuklia
Ila mkuu jitahidi kukasafisha safisha kausafiri maana kanatisha, tutaogopa hata kuomba lift
Sent using Jamii Forums mobile app