Companero
Platinum Member
- Jul 12, 2008
- 5,604
- 1,704
Nadhani watu wamesahau; hii ilikuwa ni siku ille ya hotuba yake ya mwisho wa mwezi - nadhani ni wa Februari; aliitoka kwenye function hii na akaenda kuhutubia. Kwamba kwanini wamevaa sare ya kitambaa kimoja jibu ni jepesi.
MICHUZI: JK launching the Presidential Award on the Extractive Industry Corporate Social Responsibility and Empowerment Programme (CSRE) last night.