manjoge
Member
- Dec 8, 2012
- 18
- 10
Habarini za jioni wapendwa,
Mimi ni msichana nimeolewa miaka miwili iliyopita tatizo ni kwamba mume wangu anawahi kufika kibo na mawenzi tukiwa katika lile tendo yani dakika 2 nyingi na akitaka round ya pili basi humchukua hata nusu saa na huishia njiani hafiki tena kibo.
Kwakweli kama nshawahi kufurahia tendo haizidi hata mara 4 na mara nyingine huwa naona kama kero kwakuwa si enjoy kiufupi kwa upande wangu sijaona bado raha ya tendo la ndoa!
Hapendi kupitia hata majarida ya mapenzi au hata kutembelea majukwaa kama haya mara nyingi hunigombesha akiniona naperuzi masuala ya mahusiano.
Nisaidieni sijui hata naanzaje kumwambia!
Mimi ni msichana nimeolewa miaka miwili iliyopita tatizo ni kwamba mume wangu anawahi kufika kibo na mawenzi tukiwa katika lile tendo yani dakika 2 nyingi na akitaka round ya pili basi humchukua hata nusu saa na huishia njiani hafiki tena kibo.
Kwakweli kama nshawahi kufurahia tendo haizidi hata mara 4 na mara nyingine huwa naona kama kero kwakuwa si enjoy kiufupi kwa upande wangu sijaona bado raha ya tendo la ndoa!
Hapendi kupitia hata majarida ya mapenzi au hata kutembelea majukwaa kama haya mara nyingi hunigombesha akiniona naperuzi masuala ya mahusiano.
Nisaidieni sijui hata naanzaje kumwambia!