Habari wana JAMII FORUMS, Mimi ni Blogger na nilikuwa najaribu kujiunga na kampuni ya matangazo ya www.seebait.com lakini baada ya kupata codeza html nilipoziweka zinadisplay empty, tafadhali kama kuna mtu ana ujuzi wa kuweza kujiunga na Seebait naomba tusaidiane please!!!!!!!!