Tumia mafuta ya mnyonyo(Castro oil)Wadau msaada tafadhari
AsanteTumia mafuta ya mnyonyo(Castro oil)
Àsante sanaTumia grace shampoo hii ya bukubuku, halafu paka mafuta ya nazi ( minara)
Mba utazisikia kwa jirani
Àsante sana kwa ushauliPia ipe nywele treatment yake inayokaiwa jitahidi nywele isikose unyevu wa maji na mafuta
Kama ni natural basi fata procedure zinazotakiwa
Kama utaweza tumia juisi ya kitunguu maji(weka kitungu kwenye blander chuja) ile juisi utapaka. Nywele ziwe low cut pia tumia usiku(sababu ya harufu yake) asubuhi weka head&shoulder shampoo na mafuta ya Castro wiki tu kichwa safi.Asante
Ketoconazole shampoo unaosha kila baada ya siku moja.Kuna shampooo nilinunua phamas inaitwa keto nini sijui kesho ntakupigia picha nikutumie ni nzuri saana
Ketoconazole shampoo unaosha kila baada ya siku moja.