Nedroma
Member
- Mar 26, 2016
- 35
- 72
Wakuu habari za majukumu, binafsi ninasumbuliwa sana na mba kwa miaka mingi ni mba wa kichwani unashuka hadi usoni. Nimeshatumia dawa za pharmacy zinanisaidia kwa muda mfupi then unarudi tena.
Kwa ambae anajua mafuta/dawa itakayoweza kuutibu naomba anisaidie.
Asanteni.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kwa ambae anajua mafuta/dawa itakayoweza kuutibu naomba anisaidie.
Asanteni.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app