Bengoldstar
Member
- Apr 24, 2022
- 67
- 46
Habari ndugu jamaa na Marafiki,
Mimi ni kijana wa miaka 29. Nimehitimu elimu ya chuo tangu mwaka 2019, lakini nimekuwa na hari ya kutokewa na ndoto ya aina moja mara kwa mara, wakati mwingine inatokea usiku mara mbili mpaka mara tatu.
Ndoto yenyewe ni kuota niko chuoni bado nasoma na mara nyingi naota nikiwa najiandaaa kwenda kwenye chumba cha mtihani , na kibaya zaidi ninakuwa sijasoma kabra ya mtihani , sasa hofu yake inakuwa ni kubwa sana.
Wakati mwingine ninakuwa katika chumba cha mtihan lakni kinachonishangaza ni kwamba huo mtihani huwa sianzi kuufanya huwa tu kwenye mazingira ya mtihan ila kuunza kufanya ndo hamna nastuka natetemeka sjasoma.
Kama kuna mtaalamu wa kiroho au mjuzi wa kutafsiri ndoto naomba anipe mwanga kidogo maana hii ndoto inanitesa sana.
Naomba kusasilisha
Mimi ni kijana wa miaka 29. Nimehitimu elimu ya chuo tangu mwaka 2019, lakini nimekuwa na hari ya kutokewa na ndoto ya aina moja mara kwa mara, wakati mwingine inatokea usiku mara mbili mpaka mara tatu.
Ndoto yenyewe ni kuota niko chuoni bado nasoma na mara nyingi naota nikiwa najiandaaa kwenda kwenye chumba cha mtihani , na kibaya zaidi ninakuwa sijasoma kabra ya mtihani , sasa hofu yake inakuwa ni kubwa sana.
Wakati mwingine ninakuwa katika chumba cha mtihan lakni kinachonishangaza ni kwamba huo mtihani huwa sianzi kuufanya huwa tu kwenye mazingira ya mtihan ila kuunza kufanya ndo hamna nastuka natetemeka sjasoma.
Kama kuna mtaalamu wa kiroho au mjuzi wa kutafsiri ndoto naomba anipe mwanga kidogo maana hii ndoto inanitesa sana.
Naomba kusasilisha