Msaada wa ndoto hii inayonisumbua kila siku

Bengoldstar

Member
Apr 24, 2022
67
46
Habari ndugu jamaa na Marafiki,

Mimi ni kijana wa miaka 29. Nimehitimu elimu ya chuo tangu mwaka 2019, lakini nimekuwa na hari ya kutokewa na ndoto ya aina moja mara kwa mara, wakati mwingine inatokea usiku mara mbili mpaka mara tatu.

Ndoto yenyewe ni kuota niko chuoni bado nasoma na mara nyingi naota nikiwa najiandaaa kwenda kwenye chumba cha mtihani , na kibaya zaidi ninakuwa sijasoma kabra ya mtihani , sasa hofu yake inakuwa ni kubwa sana.

Wakati mwingine ninakuwa katika chumba cha mtihan lakni kinachonishangaza ni kwamba huo mtihani huwa sianzi kuufanya huwa tu kwenye mazingira ya mtihan ila kuunza kufanya ndo hamna nastuka natetemeka sjasoma.

Kama kuna mtaalamu wa kiroho au mjuzi wa kutafsiri ndoto naomba anipe mwanga kidogo maana hii ndoto inanitesa sana.

Naomba kusasilisha
 
Habari ndugu jamaa na Marafiki..

Mimi ni kijana wa miaka 29. Nimehitimu elimu ya chuo tangu mwaka 2019, lakini nimekuwa na hari ya kutokewa na ndoto ya aina moja mara kwa mara , wakati mwingine inatokea usiku mara mbili mpaka mara tatu...
Ndoto yenyewe ni kuota niko chuoni bado nasoma na mara nyingi naota nikiwa najiandaaa kwenda kwenye chumba cha mtihani , na kibaya zaidi ninakuwa sijasoma kabra ya mtihani , sasa hofu yake inakuwa ni kubwa sana.

Wakati mwingine ninakuwa katika chumba cha mtihan lakni kinachonishangaza ni kwamba huo mtihani huwa sianzi kuufanya huwa tu kwenye mazingira ya mtihan ila kuunza kufanya ndo hamna nastuka natetemeka sjasoma..

Kama kuna mtaalamu wa kiroho au mjuzi wa kutafsiri ndoto naomba anipe mwanga kidogo maana hii ndoto inanitesa sana.

Naomba kusasilisha
Tafuta kitabu kinachohusu NDOTO Cha Christopher Mwakasege kitakusaidia.

Au ingia utube Sikiza watumishi walioongelea kuhusu ndoto ya kuota unafanya mtihani.

Kifupi ni kuwa, KIMWILI umemaliza mitihani bt kiroho Bado unafanya mitihani, na ukifaulu tu mitihani kiroho, utapata KAZI na maisha kufunguka.

Mtu halisi yupo kwenye ndoto hivyo dumu sana kwenye maombi Ili ujikwamue hapo uliposhikiliwa.


Afadhali na wewe unaota unafanya mitihani ya chuo, Kuna mwingine alikuwa amemaliza degree but alikuwa anaota amevaa kaptula akienda shule alosomea zamani ya msingi.

Na ukipuuza ndo imekula.

Ubarikiwe.
 
Tafuta kitabu kinachohusu NDOTO Cha Christopher Mwakasege kitakusaidia.

Au ingia utube Sikiza watumishi walioongelea kuhusu ndoto ya kuota unafanya mtihani.

Kifupi ni kuwa, KIMWILI umemaliza mitihani bt kiroho Bado unafanya mitihani, na ukifaulu tu mitihani kiroho, utapata KAZI na maisha kufunguka.

Mtu halisi yupo kwenye ndoto hivyo dumu sana kwenye maombi Ili ujikwamue hapo uliposhikiliwa.


Afadhali na wewe unaota unafanya mitihani ya chuo, Kuna mwingine alikuwa amemaliza degree but alikuwa anaota amevaa kaptula akienda shule alosomea zamani ya msingi.

Na ukipuuza ndo imekula.

Ubarikiwe.
Dah ahsante sana kwa ujumbe huu, nilikuwa nawaza sana basi nitafuatilia mafundisho hayo na maombi nizidishe ukaribu na mwenyezi Mungu.
 
Tafuta kitabu kinachohusu NDOTO Cha Christopher Mwakasege kitakusaidia.

Au ingia utube Sikiza watumishi walioongelea kuhusu ndoto ya kuota unafanya mtihani.

Kifupi ni kuwa, KIMWILI umemaliza mitihani bt kiroho Bado unafanya mitihani, na ukifaulu tu mitihani kiroho, utapata KAZI na maisha kufunguka.

Mtu halisi yupo kwenye ndoto hivyo dumu sana kwenye maombi Ili ujikwamue hapo uliposhikiliwa.


Afadhali na wewe unaota unafanya mitihani ya chuo, Kuna mwingine alikuwa amemaliza degree but alikuwa anaota amevaa kaptula akienda shule alosomea zamani ya msingi.

Na ukipuuza ndo imekula.

Ubarikiwe.
Kwan kakuambia Hana kazi
 
Songa mbele ww.....
Utakuwa mshirikina sasa hivi kuamini amini mandoto..
Hapana ,kinachonichanganya ni kwamba hadi kiroho ndoto zinakuwa na maana ,lkn pia inatesa sana kuona nakuwa chuoni kila siku hadi nawaza kuna code haziko sawa ndo nawaza sana.
 
Habari ndugu jamaa na Marafiki,

Mimi ni kijana wa miaka 29. Nimehitimu elimu ya chuo tangu mwaka 2019, lakini nimekuwa na hari ya kutokewa na ndoto ya aina moja mara kwa mara, wakati mwingine inatokea usiku mara mbili mpaka mara tatu.

Ndoto yenyewe ni kuota niko chuoni bado nasoma na mara nyingi naota nikiwa najiandaaa kwenda kwenye chumba cha mtihani , na kibaya zaidi ninakuwa sijasoma kabra ya mtihani , sasa hofu yake inakuwa ni kubwa sana.

Wakati mwingine ninakuwa katika chumba cha mtihan lakni kinachonishangaza ni kwamba huo mtihani huwa sianzi kuufanya huwa tu kwenye mazingira ya mtihan ila kuunza kufanya ndo hamna nastuka natetemeka sjasoma.

Kama kuna mtaalamu wa kiroho au mjuzi wa kutafsiri ndoto naomba anipe mwanga kidogo maana hii ndoto inanitesa sana.

Naomba kusasilisha
Hii ndoto ya kuota upo shule ni maarufu sana ila watu wengi wanaichukulia poa. Unaota upo darasa la saba wakati na wenzako wakati ulimaliza la saba miaka 20 iliyopita. Unaota upo shule unafanya mitihani na una hofu kubwa kwani hujasoma na mtihani ndio huo kesho.

Kwa kifupi tu ndoto hii inaashiria kurudishwa nyuma katika ulimwengu wa roho. Maendeleo yako yamekwamishwa kiroho kwa njia za kichawi. Shukuru kwamba umeota hivyo na haitakuwa mwisho hadi utatue tatizo lililopo katika ulimwengu wa roho.

Mara nyingi ni uchawi wa kumkwamisha mtu, roho ya konokono, roho ya kobe au ya kinyonga. Hizi ni roho za kukufanya usiende mbele kimaendeleo kwa kasi yako. Mara nyingi pia ni mtu anatumia nyota yako kichawi. Kifupi umepigwa stop.

Wengi hupatwa na roho hiyo pia kutokana na kuibiwa nyota kunakotokana na kulala na wanawake wanaotumika kama maagenti wa kuiba nyota za watu kupitia kujamiiana. Ni wengi mno huibiwa kwa njia hii.

Unapaswa kuondoa makwazo hayo katika ulimwengu wa roho. Nakushauri mtafute mtu wa kweli wa Mungu, mwombeaji hodari mwenye nguvu za Mungu wa Kweli akuombee.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom