Wenzio Wana miaka 6 wanakimbia 7 Sasa ajira usitarajie sana nchi imeshachafuka mambo hayaeleweki ajira bahati na connection kubwa sanaaaako nikasome clinical medicine ili niajiriwe???
duuh jamn ko hata nikisoma clinical medicine siambulii kitu kuhus ajiraWenzio Wana miaka 6 wanakimbia 7 Sasa ajira usitarajie sana nchi imeshachafuka mambo hayaeleweki ajira bahati na connection kubwa sanaaaa
hmmm mwalim unanitish hiv???Wenzio Wana miaka 6 wanakimbia 7 Sasa ajira usitarajie sana nchi imeshachafuka mambo hayaeleweki ajira bahati na connection kubwa sanaaaa
Dogo ushaambiwa swala la kuajiriwa futa kichwani soma ili ujiajiri kuwa mwelewako nikasome clinical medicine ili niajiriwe???
Kwani clinical medicine kitu ganiduuh jamn ko hata nikisoma clinical medicine siambulii kitu kuhus ajira
Sikutishi Wala nakwambia jinsi mambo yalivyo kama mtu wa MD anasota mtaani wewe wa clinical je??? Soma kozi ambayo utaweka kujiajiri mwenyewe ajira ije baadae kama surprise tuhmmm mwalim unanitish hiv???
Tunawambia ukweli saivi hamna ajira ila ukienda chuo unapanua akili ya kupambana na maisha Yani fahamu zinafunguka jinsi ya kukabiliana na changamoto mbalimbali za maisha.duuh jamn ko hata nikisoma clinical medicine siambulii kitu kuhus ajira
Eti clinical medicine nani kakuambia hyo coz Bora sana???? Hyo mbona ya kawaida sana tu kama ni kama stashahada ya kiswahili tu usiweke matarajio makubwa wazankujiajiri kwanzaduuh jamn ko hata nikisoma clinical medicine siambulii kitu kuhus ajira
Clinical medicine unajiajiri vipi mkuu🙏🙏N
Tunawambia ukweli saivi hamna ajira ila ukienda chuo unapanua akili ya kupambana na maisha Yani fahamu zinafunguka jinsi ya kukabiliana na changamoto mbalimbali za maisha.
Kwaiyo wewe ondoa wazo la kuajiriwa course zote saiv hamna ajira Kuna watu wamemaliza tangu 2016 mpaka Leo hawajajiriwa kwaiy nenda ukasomee lakin utambue Kuwa kuajiriwa Hamna weka mindset kujiajiri.
Ningekushauri zaidi ukasomee Clinical Medicine kuliko Business Administration maana business Ina watu wengi na hata kujiajiri kwake siyo Rahisi, but clinical medicine Ina uwanda Mpana wa kuajiriwa ama kujiajiri
Kila la kheri
Si unafungua hata dispensary yakoClinical medicine unajiajiri vipi mkuu🙏🙏
hmmm saw kiongozEti clinical medicine nani kakuambia hyo coz Bora sana???? Hyo mbona ya kawaida sana tu kama ni kama stashahada ya kiswahili tu usiweke matarajio makubwa wazankujiajiri kwanza
ila nd ada kubw aiseeN
Tunawambia ukweli saivi hamna ajira ila ukienda chuo unapanua akili ya kupambana na maisha Yani fahamu zinafunguka jinsi ya kukabiliana na changamoto mbalimbali za maisha.
Kwaiyo wewe ondoa wazo la kuajiriwa course zote saiv hamna ajira Kuna watu wamemaliza tangu 2016 mpaka Leo hawajajiriwa kwaiy nenda ukasomee lakin utambue Kuwa kuajiriwa Hamna weka mindset kujiajiri.
Ningekushauri zaidi ukasomee Clinical Medicine kuliko Business Administration maana business Ina watu wengi na hata kujiajiri kwake siyo Rahisi, but clinical medicine Ina uwanda Mpana wa kuajiriwa ama kujiajiri
Kila la kheri