Makitathebos
New Member
- Dec 26, 2022
- 2
- 0
Habari zenu.
Mimi ni Frank 23yrs old ni graduate wa Stashahada (Diploma) ya Business Administration, natarajia kuendelea na shahada (Bachelor degree)naomba ushauri wenu wakuu kwenye kuchagua kozi ambayo ni nzuri ya kuendelea nayo.
Asante sana .
Mimi ni Frank 23yrs old ni graduate wa Stashahada (Diploma) ya Business Administration, natarajia kuendelea na shahada (Bachelor degree)naomba ushauri wenu wakuu kwenye kuchagua kozi ambayo ni nzuri ya kuendelea nayo.
Asante sana .