Wana JF, Naamini hili ni jamvi lililojaa watu waelewa, wasomi, na wenye upembuzi yakinifu. Katika kuhitimisha masomo yangu napaswa kufanya research. Nimeamua kuangalia THE CHALLENGES OFIMPLEMENTATION OF OPEN PERFORMANCE REVIEW AND APPRAISAL SYSTEM (OPRAS) INTANZANIAN SECONDARY SCHOOLS. Hivyo kwa yeyote mwenye mchango wa mawazo, critiques, suggestions and opinions, naomba anipe mchango wake
Naomba kuwasilisha
Naomba kuwasilisha