Msaada wa maoni yenu katika research topic

Kipilime

Senior Member
Apr 4, 2011
117
56
Wana JF, Naamini hili ni jamvi lililojaa watu waelewa, wasomi, na wenye upembuzi yakinifu. Katika kuhitimisha masomo yangu napaswa kufanya research. Nimeamua kuangalia THE CHALLENGES OFIMPLEMENTATION OF OPEN PERFORMANCE REVIEW AND APPRAISAL SYSTEM (OPRAS) INTANZANIAN SECONDARY SCHOOLS. Hivyo kwa yeyote mwenye mchango wa mawazo, critiques, suggestions and opinions, naomba anipe mchango wake

Naomba kuwasilisha




 
Ni topic ambayo utategemea sana data kutoka mashuleni (head ts, teachers, ed. officers)pamoja na mtandao. Ukipata nafasi nenda UDSM library (both main and education library) ujaribu kusearch dis. ambazo ni similar na yako ili upate mwanga wa nini wenzio wamefanya na kuweka wazi gap ya reseach yako.
 
Ni topic ambayo utategemea sana data kutoka mashuleni (head ts, teachers, ed. officers)pamoja na mtandao. Ukipata nafasi nenda UDSM library (both main and education library) ujaribu kusearch dis. ambazo ni similar na yako ili upate mwanga wa nini wenzio wamefanya na kuweka wazi gap ya reseach yako.
be specific,
is it sec schools teachers??
sec schools head teachers?
pia anza na neno examination...i suggest; EXAMINATION OF THE MAIN CHALLENGES OF IMPLEMENTATION OF OPRAS TO SECONDARY SCHOOL TEACHERS IN TZ, usisahau kusema acase study of .......(eg mkoa, kanda nk) maana huwezi ku cover the whole country.

i also stand to be corrected.
 
be specific,
is it sec schools teachers??
sec schools head teachers?
pia anza na neno examination...i suggest; EXAMINATION OF THE MAIN CHALLENGES OF IMPLEMENTATION OF OPRAS TO SECONDARY SCHOOL TEACHERS IN TZ, usisahau kusema acase study of .......(eg mkoa, kanda nk) maana huwezi ku cover the whole country.

i also stand to be corrected.
Ofcourse ni walimu wa sekondari, make research inahusu kada hiyo.
 
Wana JF, Naamini hili ni jamvi lililojaa watu waelewa, wasomi, na wenye upembuzi yakinifu. Katika kuhitimisha masomo yangu napaswa kufanya research. Nimeamua kuangalia THE CHALLENGES OFIMPLEMENTATION OF OPEN PERFORMANCE REVIEW AND APPRAISAL SYSTEM (OPRAS) INTANZANIAN SECONDARY SCHOOLS. Hivyo kwa yeyote mwenye mchango wa mawazo, critiques, suggestions and opinions, naomba anipe mchango wake

Naomba kuwasilisha





Title ni ndefu sana labda ingekuwa hivi: Open Performance Revew and Appraisal System (OPRAS) in Secondary Schools (in Tanzania). Research problem yaweza kuwa 'finding out if any challenges in implementing the system and how they are addressed'.
 
be specific,
is it sec schools teachers??
sec schools head teachers?
pia anza na neno examination...i suggest; EXAMINATION OF THE MAIN CHALLENGES OF IMPLEMENTATION OF OPRAS TO SECONDARY SCHOOL TEACHERS IN TZ, usisahau kusema acase study of .......(eg mkoa, kanda nk) maana huwezi ku cover the whole country.

i also stand to be corrected.

Sio lazima kusema na study area kwenye title kwani itawekwa kwenye research design part. Sasa kwani huyu anataka ku-examine challenges au implementation ya hiyo system? Mimi nafikiri anataka ku-examine au assess the system na sio challenges zake. Kama ni suala la challenges basi itakuwa ni "Identifying challenges of impelementing OPRAS in secondary schools in Tanzania"
 
Sio lazima kusema na study area kwenye title kwani itawekwa kwenye research design part. Sasa kwani huyu anataka ku-examine challenges au implementation ya hiyo system? Mimi nafikiri anataka ku-examine au assess the system na sio challenges zake. Kama ni suala la challenges basi itakuwa ni "Identifying challenges of impelementing OPRAS in secondary schools in Tanzania"

Asante kwa mchango wa mawazo Mdau, lengo langu ni kuwa specific katika challenges za implementation ya OPRAS katika teaching cadre kwa sekondary zetu. Case study itakuwa shule tatu za sekondary Jijini Mwanza.
 
Sio lazima kusema na study area kwenye title kwani itawekwa kwenye research design part. Sasa kwani huyu anataka ku-examine challenges au implementation ya hiyo system? Mimi nafikiri anataka ku-examine au assess the system na sio challenges zake. Kama ni suala la challenges basi itakuwa ni "Identifying challenges of impelementing OPRAS in secondary schools in Tanzania"

Ni kweli manake that can sound very long as well, Nadhani pendekezo lako ni zuri sana.
 
hafanyi examination, anafanya study. na kama alivyosema mwanamayu, he doesnt have to mention study units kwenye title. by the way,its important kuchagua site randomly ili kuepuka bias (well,japo wakati mwingine tunachakachua for convinience bt let it appear kama utachagua randomly). tengeneza kwanza study questions zitakusaidia kufikiria uboreshe vipi title
<font color="#000000">be specific, <br />
is it sec schools teachers?? <br />
sec schools head teachers? <br />
pia anza na neno examination...i suggest; EXAMINATION OF THE MAIN CHALLENGES OF IMPLEMENTATION OF OPRAS TO SECONDARY SCHOOL TEACHERS IN TZ, usisahau kusema acase study of .......(eg mkoa, kanda nk) maana huwezi ku cover the whole country.<br />
<br />
i also stand to be corrected.</font>
<br />
<br />
 
Back
Top Bottom