Alder F 16
Member
- Feb 28, 2022
- 65
- 53
Halooo natumaini wote mpo salama kiafya, na kwa ambaye afya imeyumba kidogo pole Sana na Mungu akuimarishe.
Kuna jambo limenishangaza sana asubuhi ya leo; kabla sijaamka nilikua naota ndoto kuwa jamaa angu kanipigia sim, nikapokea, afu nikaanza kuongea nae. Ghafla usingizi ukakatika na sekunde kadhaa tu baada ya usingizi kukata sim yangu ikaanza kuita, na aliyenipigia Ni jamaa 'angu niliyeota naongea nae!
Kwa anaefahamu hali hii inaitwaje, na inatokana na Nini? Na mara kadhaa nimewahikuwa napata kusikia Kama nimeitwa na mtu nikiwa nimelala, Ila mda mfupi baada tu ya kuamka nakuta naitwa kweli! (Hali hiyo haijawahi kunipata usiku isipokuwa asubuhi, mchana, au jioni)
Msaada wa maarifa tafadhali kwa yeyote mwenye ufahamu kuhusu hii hali. Ahsanteni...
Kuna jambo limenishangaza sana asubuhi ya leo; kabla sijaamka nilikua naota ndoto kuwa jamaa angu kanipigia sim, nikapokea, afu nikaanza kuongea nae. Ghafla usingizi ukakatika na sekunde kadhaa tu baada ya usingizi kukata sim yangu ikaanza kuita, na aliyenipigia Ni jamaa 'angu niliyeota naongea nae!
Kwa anaefahamu hali hii inaitwaje, na inatokana na Nini? Na mara kadhaa nimewahikuwa napata kusikia Kama nimeitwa na mtu nikiwa nimelala, Ila mda mfupi baada tu ya kuamka nakuta naitwa kweli! (Hali hiyo haijawahi kunipata usiku isipokuwa asubuhi, mchana, au jioni)
Msaada wa maarifa tafadhali kwa yeyote mwenye ufahamu kuhusu hii hali. Ahsanteni...