PastorA
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 361
- 275
Habari za jioni watu wa Mungu,naomba msaada mezani kwangu Nina hoja nimeletewa na mshirika Fulani kuwa yeye anatatizo La Sperm Infertility,
Nikaona ni vema nikalileta humu kwenu madaktari mnisaidie maelezo ya Kidaktari huku tukiendelea kumuomba na kumsihi Mungu amtendee jambo apate watoto.
Naomba kujua.
1. Husababishwa na nini?
2. Mini Dawa ya kutatua tatizo hilo?
3. Je? Anaweza kupona kidaktari?
Natanguliza shukrani kwenu..
Nikaona ni vema nikalileta humu kwenu madaktari mnisaidie maelezo ya Kidaktari huku tukiendelea kumuomba na kumsihi Mungu amtendee jambo apate watoto.
Naomba kujua.
1. Husababishwa na nini?
2. Mini Dawa ya kutatua tatizo hilo?
3. Je? Anaweza kupona kidaktari?
Natanguliza shukrani kwenu..