Majita
JF-Expert Member
- Jan 13, 2008
- 609
- 190
Ndugu wanaJF wenzangu,habari zenu.
Samahani naomba mnisaidie maelezo ama jinsi ya kupata shule A level Tanzania.Maelezo ni kuwa nina mdogo wangu yuko Mwanza ambae namsomesha.Matokeo yake ya O level hayakuwa mazuri,so alikosa credits 3 ambazo ni C tatu kwa ajili ya kuendelea na masomo yake ya A level.Zamani kidogo nikiwa Tanzania tulizoea kuona wanafunzi wakienda private na wakiwa form five wana-reseat masomo ya O level kwa ajili ya kupata credits hizo ambazo hawakuwa nae.Nimeongea nae amesema kuwa siku hizi utaratibu huo haupo.Naamini kuwa hapa kuna watu ambao wanaujuvi na mambo hayo na wanaweza kunisaidi namna ama kunishauri jinsi ya kufanya.
Nasubiri kwa hamu kupata ushauri wenu ndg zangu ikizingatiwa kuwa sasa hivi muda wa kuanza form five unakaribia so najiandaa.Nia yangu ni kumsaidia huyu bwana mdogo kielimu zaidi ya kitu chochote.
Natanguliza shukurani na nitashukuru kama nitapata na shule ambako wanaweza kumpokea kwa huo ushindi alionao wa chini ya C tatu na ningefurahi kama itakuwa ni Mwanza,shinyanga au Musoma ili kuokoa gharama kwa ajili ya usafiri.Nikipata boarding nitafurahi zaidi.Ni mtoto wa kiume.
Regards
Samahani naomba mnisaidie maelezo ama jinsi ya kupata shule A level Tanzania.Maelezo ni kuwa nina mdogo wangu yuko Mwanza ambae namsomesha.Matokeo yake ya O level hayakuwa mazuri,so alikosa credits 3 ambazo ni C tatu kwa ajili ya kuendelea na masomo yake ya A level.Zamani kidogo nikiwa Tanzania tulizoea kuona wanafunzi wakienda private na wakiwa form five wana-reseat masomo ya O level kwa ajili ya kupata credits hizo ambazo hawakuwa nae.Nimeongea nae amesema kuwa siku hizi utaratibu huo haupo.Naamini kuwa hapa kuna watu ambao wanaujuvi na mambo hayo na wanaweza kunisaidi namna ama kunishauri jinsi ya kufanya.
Nasubiri kwa hamu kupata ushauri wenu ndg zangu ikizingatiwa kuwa sasa hivi muda wa kuanza form five unakaribia so najiandaa.Nia yangu ni kumsaidia huyu bwana mdogo kielimu zaidi ya kitu chochote.
Natanguliza shukurani na nitashukuru kama nitapata na shule ambako wanaweza kumpokea kwa huo ushindi alionao wa chini ya C tatu na ningefurahi kama itakuwa ni Mwanza,shinyanga au Musoma ili kuokoa gharama kwa ajili ya usafiri.Nikipata boarding nitafurahi zaidi.Ni mtoto wa kiume.
Regards