Msaada wa kupata kazi kwenye Casino

Casino industry ni industry ambayo watu Weng WA outside wanaichukulia negative Sana...lkn iko tofaut Sana na watu wanavyoichukulia....mm nnfnya kaz casino mwaka WA Saba huu....na mafanikio yng n makubwa..compare to other industries....wife pia yupo humu na sio mm Tu mwnye mke humu...watu wanafnya kaz Baba na bint yake humu....so kama kwl Una Nia ya kufnya kaz na kuendesha miasha karb....n career nzr Sana....JARIBU KUOMBA KAMA DEALER kitengo kizur Sana....Ila kma umehadthiwa casino kuna utajiri WA kudanga🤣🤣 pole hutoamn
 
Casino industry ni industry ambayo watu Weng WA outside wanaichukulia negative Sana...lkn iko tofaut Sana na watu wanavyoichukulia....mm nnfnya kaz casino mwaka WA Saba huu....na mafanikio yng n makubwa..compare to other industries....wife pia yupo humu na sio mm Tu mwnye mke humu...watu wanafnya kaz Baba na bint yake humu....so kama kwl Una Nia ya kufnya kaz na kuendesha miasha karb....n career nzr Sana....JARIBU KUOMBA KAMA DEALER kitengo kizur Sana....Ila kma umehadthiwa casino kuna utajiri WA kudanga🤣🤣 pole hutoamn
Any assistance karb sana
 
Casino industry ni industry ambayo watu Weng WA outside wanaichukulia negative Sana...lkn iko tofaut Sana na watu wanavyoichukulia....mm nnfnya kaz casino mwaka WA Saba huu....na mafanikio yng n makubwa..compare to other industries....wife pia yupo humu na sio mm Tu mwnye mke humu...watu wanafnya kaz Baba na bint yake humu....so kama kwl Una Nia ya kufnya kaz na kuendesha miasha karb....n career nzr Sana....JARIBU KUOMBA KAMA DEALER kitengo kizur Sana....Ila kma umehadthiwa casino kuna utajiri WA kudanga pole hutoamn
Umeanza vizuri sana, na hongera. Ila umeharibu mwishoni, anyways nakuja pm.
 
Hello,

Mimi ni msichana ninayevutiwa sana na kufanya kazi Casino, sina connection na wala sijawahi fanya kazi hiyo.

Naomba mwenye mapenzi mema anasaidie connection.

Sipo DSM, ila naweza kufika haraka nikihitajika.

Natanguliza shukran

GENDER: F
AGE: 26
MARITAL STATUS: SINGLE
Umesomea barman au waiter?
 
Back
Top Bottom