Wana jf naomben msaada wenu. Nna rafiki yangu 2memaliza nae f4 amepata div 4.28 naomben msaada wenu kama kuna vyuo mnavyo vijua na course zp znalipa hasa znazohuc masomo ya sayansi kama pharmacist..... Matokeo yake ni haya
civ F
eng F
his F
kis D
geo D
che D
phy D
mat D
bio C
civ F
eng F
his F
kis D
geo D
che D
phy D
mat D
bio C