Hello again wana Jf, nataka kununu kiplot maeneo ya mbweni chenye view ya bahari kwa umbali(likini siyo lazima) kiwe na ukubwa wa sqm 1500 to 1900 uwezo wangu ni mili 25 tu. wenye kujua pls. hata maeneo ya mbezi au boko its ok. upepo muhimu.
Hi viwanja vipo hasa maeneo ya Mbweni ndo nina uhakika...... ila kuna madalali pale tegeta kibaoni ni wazuri sana viwanja vyao maranyingi siyo vya kitapeli ila inabidi uwe macho kabla ya kutoa pesa. Uliza pale Tegeta kibaoni kijiwe cha madalali jina ni Athumani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.