Msaada wa kisheria tafadhali

kamanga2016

JF-Expert Member
Apr 5, 2016
652
501
Nisiwachoshe wadau niende Moja Kwa Moja kwenye maada.

Mimi ni mtumishi niliyewahi kunifaika na bodi ya mikopo elimu ya juu, nikiwa chuoni. Mara baada ya kumaliza masomo yangu ya chuo nilipata kazi kwenye taasisi ya binafsi nilikokuwa nakatwa makato ya bodi Kwa Kila mwezi. Baada ya mkataba wangu kuisha niliajiriwa serikalini, ambako nimeendelea kukatwa Kila mwezi,

Changamoto yangu ni Kwa yule mwajili wangu wa kwanza makato hakuwa anafikisha yote bodi Kwa hiyo amelipa kiasi kidogo ukilinganisha na kile nilichokatwa.

Nimejaribu kufuatilia Mara kadhaa bila mafanikio zaidi ya kuambiwa tunalifuatia tutakujulisha, na nilipojaribu kuwashirikisha bodi nao wanasema hawana uwezo wa kumdai yule mwajili wangu wa awali kwani yeye alicholipia ndicho wanachokijua.

Naomba msaada wa kisheria tafadhali naweza kufanyaje Ili kujikwamua n huu mzigo unaonikabili.
 
Nisiwachoshe wadau niende Moja Kwa Moja kwenye maada.

Mimi ni mtumishi niliyewahi kunifaika na bodi ya mikopo elimu ya juu, nikiwa chuoni. Mara baada ya kumaliza masomo yangu ya chuo nilipata kazi kwenye taasisi ya binafsi nilikokuwa nakatwa makato ya bodi Kwa Kila mwezi. Baada ya mkataba wangu kuisha niliajiriwa serikalini, ambako nimeendelea kukatwa Kila mwezi,

Changamoto yangu ni Kwa yule mwajili wangu wa kwanza makato hakuwa anafikisha yote bodi Kwa hiyo amelipa kiasi kidogo ukilinganisha na kile nilichokatwa.

Nimejaribu kufuatilia Mara kadhaa bila mafanikio zaidi ya kuambiwa tunalifuatia tutakujulisha, na nilipojaribu kuwashirikisha bodi nao wanasema hawana uwezo wa kumdai yule mwajili wangu wa awali kwani yeye alicholipia ndicho wanachokijua.

Naomba msaada wa kisheria tafadhali naweza kufanyaje Ili kujikwamua n huu mzigo unaonikabili.
Pole sana,ila bodi ya mikopo nao wamezingua kwani ni jukumu laokisheria kumuwajibisha mwajiri ambaye hajapeleka pesa alizo kata kutoka katika mshahara wa mfanyakazi. (sheria ya Bodi ya mikopo)
kuna option zifuatazo;
1: kurudisha suala lako kwa maandishi kwenda bodi ya mikopo kuomba kusimamishwa kwa makato (deni) (endapo kiasi cha makato kilichofanyika kimeshafidia deni)na kuambatanisha na vivuli vya hati ya malipo(saalary slip)ambayo itaonyesha mwajiri alivyokuwa anakukata pesa kwa ajili ya Bodi ya mikopo.
2:sijajua kwa mwajiri alikuwa anafanya deductions vipi?na kiasi kilichokatwa na kupelekwa bodi ni kipi?,ila unaweza kupiga mahesabu ya mapunjo yaliyofanyika kama its worth enough unaweza kufungua kesi dhidi ya mwajiri wako wa awali CMA kwa sababu ya mapunjo ya mshahara(underpayments)-Breach of contract
 
Pole sana,ila bodi ya mikopo nao wamezingua kwani ni jukumu laokisheria kumuwajibisha mwajiri ambaye hajapeleka pesa alizo kata kutoka katika mshahara wa mfanyakazi. (sheria ya Bodi ya mikopo)
kuna option zifuatazo;
1: kurudisha suala lako kwa maandishi kwenda bodi ya mikopo kuomba kusimamishwa kwa makato (deni) (endapo kiasi cha makato kilichofanyika kimeshafidia deni)na kuambatanisha na vivuli vya hati ya malipo(saalary slip)ambayo itaonyesha mwajiri alivyokuwa anakukata pesa kwa ajili ya Bodi ya mikopo.
2:sijajua kwa mwajiri alikuwa anafanya deductions vipi?na kiasi kilichokatwa na kupelekwa bodi ni kipi?,ila unaweza kupiga mahesabu ya mapunjo yaliyofanyika kama its worth enough unaweza kufungua kesi dhidi ya mwajiri wako wa awali CMA kwa sababu ya mapunjo ya mshahara(underpayments)-Breach of contract

Nashukuru sana kiongozi Wacha nifuatilie nitarudi na mrejesho hapa jukwani Kwa manufaa ya wengine pia
 
Back
Top Bottom