Msaada wa kisheria!!erolink staffs kwenye vituo vyao vya kazi wananyanyasika

LORAINNE

Member
Mar 18, 2013
42
10
Jaamani Habarinii za asubuhi!!kuna hili swala la hawa wafanyakazi wa eroplink.Kuna Bank Moja maarufu jina kapuni nilibahatika kufanya kazi mwaka mmoja chini ya hii kampuni ya erolink bahati nzuri nikaajiriwa sehemu nyingine,cha kushangaza mpka sasa wale wenzangu woote zaidi ya 50 bado wapo mpka leo chini ya erolink,wananyanyasika,wanakosa haki zao za msingi,wengine wamewekwa kwenye idara nyeti lakini cha kushangaza wapo temporay mwaka wa pili unaisha sasa,no fringe benefits kama medical allowance,housing allowance,na pia hata zile pension zao inasemekana hawazipeleki sehem husika!!mshahara unamegwa mpka unabaki mdogo ambao huo huo atoe hela ya kodi,matibabu na mambo mengine,MIKATABA YAO SASA NDO HATARI!kila baada ya miezi mitatu wanarenew unakuta mtu toka ameanza ana miaka miwili ila hajui hatma ya ajira yaka baada ya miezi mitatu mbele,wanaenda tuu kwa sababu wanashida na ajira zimekuwa ngumu,swali langu wanasheria,hivi ni sahihi hii aina ya ajira inavyokwenda?na ni sahihi mtu kuwa temporary zaidi ya miezi sita?msaada jamani!
 
Kwa nini unaficha jina la hiyo benki, si uandike tu kwa herufi kubwa kuwa ni NBC
 
haaaaaa!!!!wewe kaka unafanya kazi nbc nn?kwani nbc wanachukua kutoka erolink?but jamani ni mateso wanapata hawa...mabinti ndio wanateseka saana...makaka nao wenye familia nyumbani utawaonea huruma...full mateso...tunajua kuna mkono wa mkubwa katika kampuni hii...anakula na erolink ili kuwakandamiza watoto wa masikini ...ambao wana degree zao....wanafanyishwa kazi kana kwamba hawajasoma...too sad nchi yetu...



Kwa nini unaficha jina la hiyo benki, si uandike tu kwa herufi kubwa kuwa ni NBC
 
...JF is the only place where we dare to talk loudly, kama sehemu inafahamika ni wazi kuibainisha kuliko kufichaficha...

haaaaaa!!!!wewe kaka unafanya kazi nbc nn?kwani nbc wanachukua kutoka erolink?but jamani ni mateso wanapata hawa...mabinti ndio wanateseka saana...makaka nao wenye familia nyumbani utawaonea huruma...full mateso...tunajua kuna mkono wa mkubwa katika kampuni hii...anakula na erolink ili kuwakandamiza watoto wa masikini ...ambao wana degree zao....wanafanyishwa kazi kana kwamba hawajasoma...too sad nchi yetu...
 
...JF is the only place where we dare to talk loudly, kama sehemu inafahamika ni wazi kuibainisha kuliko kufichaficha...

sure....but wanasheria mpo wapi?mje jamani muongee kidogo kuhusu hili...hatua gani wafate ili waokoke hawa watu..au ikibidi wapatiwe ajira ya kudumu...laa sivyo patachimbika...nakuambia kama hapa ofinini kwetu wakiamua kugoma hawa erolink staffs woote japo kwa siku mbili?lazima kampuni ilapata hasara kubwa...maaana hawa erolink wapo wengi na wanafanya kazi nyingi saana kuliko hapa permanent...
 
Kwa nin na wewe usifunguke na kuitaja OFISI yako maana naona muda wote waandika "Hapa Ofisini kwetu", ni wapi huko haswa....Airtel, Vodacom???

sure....but wanasheria mpo wapi?mje jamani muongee kidogo kuhusu hili...hatua gani wafate ili waokoke hawa watu..au ikibidi wapatiwe ajira ya kudumu...laa sivyo patachimbika...nakuambia kama hapa ofinini kwetu wakiamua kugoma hawa erolink staffs woote japo kwa siku mbili?lazima kampuni ilapata hasara kubwa...maaana hawa erolink wapo wengi na wanafanya kazi nyingi saana kuliko hapa permanent...
 
Nadhani aliyepost thread alitaka msaada wa kisheria cha kushangaza lay man and woman amejaza porojo tu....OK ni hivi Kisheria mkataba wa kazi uwa kati ya mwajiri na mwajiriwa na hawa wafanyakazi wa EROLINK waliokatika sehemu nyingi mathalani NBC mwajiri wao ni EROLINK na si NBC wanapelekwa kufanya kazi NBC na mwajiri wao EROLINK ambaye anakuwa ameingia mkataba na NBC hivyo basi stahili zao zote wanatakiwa walipwe na EROLINK na wala si NBC.

Ushauri.
Mimi ningependa kuwashauli hawa wadogo zangu wengine wakubwa zangu wajitahidi kabra hawajaingia mkataba wowote na kusaini waangalie stahili zao katika mkataba ni zipi na wajaribu kuhoji pindi wanapoona kuna vitu haviko sawa ukizingatia mkataba ni wa two parties basi wajaribu ku negotiate kila wanachodhani ni haki yao.
 
Nadhani aliyepost thread alitaka msaada wa kisheria cha kushangaza lay man and woman amejaza porojo tu....OK ni hivi Kisheria mkataba wa kazi uwa kati ya mwajiri na mwajiriwa na hawa wafanyakazi wa EROLINK waliokatika sehemu nyingi mathalani NBC mwajiri wao ni EROLINK na si NBC wanapelekwa kufanya kazi NBC na mwajiri wao EROLINK ambaye anakuwa ameingia mkataba na NBC hivyo basi stahili zao zote wanatakiwa walipwe na EROLINK na wala si NBC.


Ushauri.
Mimi ningependa kuwashauli hawa wadogo zangu wengine wakubwa zangu wajitahidi kabra hawajaingia mkataba wowote na kusaini waangalie stahili zao katika mkataba ni zipi na wajaribu kuhoji pindi wanapoona kuna vitu haviko sawa ukizingatia mkataba ni wa two parties basi wajaribu ku negotiate kila wanachodhani ni haki yao.

mekuelewa but mdau kama niko sahihi ni kwamba mkataba wowote utakao sainiwa kutokana na undue influence huo cyo mkataba... je huoni kwamba vijana wanakuwa influenced kusign mikataba hiyo kwanza kutokana na ugumu wakukosa ajira pili ugumu wa maisha???

Je sheria za kazi zinasemaje kuhusu suala la temporary staffs, watafanya miaka mingapi ili waweze kuwa permanent??
je hilo la stahili zao kwenye mashirika kama ppf/nssf ambalo mikataba iko wazi wafanyeje??
 
Siku zote mimi huwa nasema kama yuko Mtanzania ambaye haridhiki na aina ya kazi na maslahi anayopata basi aende pale CMA na afungue madai.

Pili, hawa wafanyakazi wa Erolink kwa kuwa wako wengi wajiunge na vyama vya wafanaykazi. ndani ya hivyo vyama watapata fursa ya kujadili maslahi yao ikiwa ni pamoja na kuingia mkataba wa hali bora.

Kama mfanyakazi huyo wa Erolink hawezi kuchukua hatua hizi sioni sababu kwanini tumsaidie kulalamika. Huku kutakuwa ni kupoteza muda bure.

Nne, mfanyakzi wa Erolink pia anaweza kuweka hapa mkataba wake wa kazi (akiwa ameondoa identity yake na sisi wanasheria tukaitazama na kutoa ushauri wa nini kifanyike.

Wafanyakazi wote wakumbuka msemo wa Karl Marx enzi hizo: Workers of the world unite; you have nothing to lose but your chains.

Jaamani Habarinii za asubuhi!!kuna hili swala la hawa wafanyakazi wa eroplink.Kuna Bank Moja maarufu jina kapuni nilibahatika kufanya kazi mwaka mmoja chini ya hii kampuni ya erolink bahati nzuri nikaajiriwa sehemu nyingine,cha kushangaza mpka sasa wale wenzangu woote zaidi ya 50 bado wapo mpka leo chini ya erolink,wananyanyasika,wanakosa haki zao za msingi,wengine wamewekwa kwenye idara nyeti lakini cha kushangaza wapo temporay mwaka wa pili unaisha sasa,no fringe benefits kama medical allowance,housing allowance,na pia hata zile pension zao inasemekana hawazipeleki sehem husika!!mshahara unamegwa mpka unabaki mdogo ambao huo huo atoe hela ya kodi,matibabu na mambo mengine,MIKATABA YAO SASA NDO HATARI!kila baada ya miezi mitatu wanarenew unakuta mtu toka ameanza ana miaka miwili ila hajui hatma ya ajira yaka baada ya miezi mitatu mbele,wanaenda tuu kwa sababu wanashida na ajira zimekuwa ngumu,swali langu wanasheria,hivi ni sahihi hii aina ya ajira inavyokwenda?na ni sahihi mtu kuwa temporary zaidi ya miezi sita?msaada jamani!
 
Nadhani aliyepost thread alitaka msaada wa kisheria cha kushangaza lay man and woman amejaza porojo tu....OK ni hivi Kisheria mkataba wa kazi uwa kati ya mwajiri na mwajiriwa na hawa wafanyakazi wa EROLINK waliokatika sehemu nyingi mathalani NBC mwajiri wao ni EROLINK na si NBC wanapelekwa kufanya kazi NBC na mwajiri wao EROLINK ambaye anakuwa ameingia mkataba na NBC hivyo basi stahili zao zote wanatakiwa walipwe na EROLINK na wala si NBC.

Ushauri.
Mimi ningependa kuwashauli hawa wadogo zangu wengine wakubwa zangu wajitahidi kabra hawajaingia mkataba wowote na kusaini waangalie stahili zao katika mkataba ni zipi na wajaribu kuhoji pindi wanapoona kuna vitu haviko sawa ukizingatia mkataba ni wa two parties basi wajaribu ku negotiate kila wanachodhani ni haki yao.

Mkalikenya tafakari unayasema yote haya kwakuwa una ajira. Huna ajira unakuwa unasema ajira kwanza masilah baadae, nchi wizi mtu,tena majambaz weng wapo nafasi nyeti. Hv kwel unaweza chukua temporal departiment nyeti. Why? Ths people need help.
 
mekuelewa but mdau kama niko sahihi ni kwamba mkataba wowote utakao sainiwa kutokana na undue influence huo cyo mkataba... je huoni kwamba vijana wanakuwa influenced kusign mikataba hiyo kwanza kutokana na ugumu wakukosa ajira pili ugumu wa maisha???

Je sheria za kazi zinasemaje kuhusu suala la temporary staffs, watafanya miaka mingapi ili waweze kuwa permanent??
je hilo la stahili zao kwenye mashirika kama ppf/nssf ambalo mikataba iko wazi wafanyeje??

Ok sheria ya kazi na sheria zake ndogo inaelezea mfanyakazi wa muda anatakiwa apewe ajira ya kudumu kama atafanya zaidi ya miezi sita lakini kwa hawa vibarua wa EROLINK ambao wapo kwa waajiri tofauti(wamekuwa outsourced) matharani NBC hawa si vibarua wa NBC kwa hiyo baada ya miezi sita kisheria wakuwabana wawape ajira ya kudumu ni EROLINK na wala si NBC.

Ok kwa ishu ya kulipiwa kwenye mashirika ya mifuko wa kijamii wajibu huo kisheria ni wa mwajiri wao EROLINK.
 
Mkalikenya tafakari unayasema yote haya kwakuwa una ajira. Huna ajira unakuwa unasema ajira kwanza masilah baadae, nchi wizi mtu,tena majambaz weng wapo nafasi nyeti. Hv kwel unaweza chukua temporal departiment nyeti. Why? Ths people need help.

Mimi sina huo ushahidi wa baadhi ya TAASISI kuchukua wafanyakazi wa muda kwenye idara nyeti...pia kila taasisi kutokana na utendaji wake inajua idara nyeti kwake ni ipi...Halafu kujadili idara nyeti ni zipi hili nalo linahitaji mjadala mpana pia hujatoa mfano wa hiyo idara nyeti pamoja na unyeti wake ili tujadili vizuri upate majibu.

Sasa kama ajira kwanza maslahi baadae ndio akili yenu basi mtasumbuka sana, kuna mambo ya msingi unatakiwa uzingatie ili baadae uwe na uwezo wa kuhoji, sasa msomi mzima unasaini mkataba halafu ndio unahoji sasa hapo kisheria tukusaidiaje unless mwajiri awe amefanya kitu kinyume na sheria za nchi.
 
Back
Top Bottom