123Kape
JF-Expert Member
- Sep 25, 2011
- 463
- 105
kwa zaidi mwezi huu wa nne erolink inaingiza vibarua zaidi 200 pale nbc!!staff wa erolink wanapewa vitengo nyeti sana pale benki ya biashara ya taifa na kuna mkono wa mafuru mkurugenzi aliendoka madarakani kwa aibu na kashfa na ndie alieruhusu outsource katika mali ya Tanzania..me ndhani wafanyakazi wa erolink waandae movement wajiunge na vyama vya wafanyakazi na wagome..
Gharama za maisha zinapanda mishahara ya wafanyakazi wa nbc inapanda na marupurupu yanapanda ila erolink posho yao imedumaa palepale.
dharau zinawazidia na kuwaelemea zaidi ya utu wao..
KUNA KILA SABABU YA KUJIORGANISE NA KUPAMABANA NA EROLINK NA NBC:nono:
Gharama za maisha zinapanda mishahara ya wafanyakazi wa nbc inapanda na marupurupu yanapanda ila erolink posho yao imedumaa palepale.
dharau zinawazidia na kuwaelemea zaidi ya utu wao..
KUNA KILA SABABU YA KUJIORGANISE NA KUPAMABANA NA EROLINK NA NBC:nono: