Papizo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 4,944
- 1,431
- Thread starter
- #41
Mimi nafikiri umeenda speed kuuubwa sana.....mademu wengi hawana shida katika kutoa tunda ili mradi pawe na maridhiano(hahaha!....wananchi msinimeze)!.
Chukua kama step mbili,tatu nyuma halafu msikilizie.Nachojua mimi kadiri attention kwake inavyokata ndo na yeye ataona anakuhitaji.Tatizo la wanawake bwana ikifika wakati kama huo ukiendelea kumpa attention yote hiyo anakuona huko so desparate na atakuchezea chezea.
Wewe take your time.....endelea kutafuta demu karatasi yaani mahela.Kama ulikuwa unatuma text moja kwa wiki hivi au mbili.....tena katika hizo text unaandika HI! and that's it.
Kama tayari ulishamtaka radhi nafikiri ni nafasi yake kukuangalia wakati anajaribu kurudisha moyo wake.I know it will work...yaani shaka ondoa.Ukiendelea kumsumbua na texts na calls nyingi ndo unaharibu kila kitu.
Halafu usikane kama ulikuwa unataka tunda yaani hapo ndo unapokosea.Yaani inabidi yeye mwenyewe kama mwanamke aje kukuambia kuwa hataki mambo sasa wewe unajikatalia utamu haraka haraka hivyo....vijana bwana???
Mkubwa nadhani hapa kuna point ambazo nipo nazifanya mpaka sasa..Ni kweli kabisa huwa namtumia messeg nyingi sana na simu huwa nampigia sana,ila nashukuru sana mkubwa kwa mawazo yako na nimekuelewa vizuri sana mkubwa nadhani huo ushauri nitaufanya kuanzia kesho na nadhani mambo yatakuwa sawa tu....Pia kuhusu tunda niliona yeye ameshatokwa na hiyo kitu na hapendelei kabisa ndio maana mimi nikamuwahi kumtaka radhi au sio mkubwa,ila nimekuelewa kaka na nashukuru sana nadhani huo ushauri utawork vizuri sana!