Henia hiyo wahi hospitalAmani iwe nanyi....
Naomba msaa ndugu zangu ni miezi miwili sasa Korodani yangu Moja upande wa kulia Ina kauvimbe kadogo kaguma kasiko na maumivu, Hii hali inanifikirisha sana
Doctors naombeni msaada wenu
Naomba uende hospitali kwa uchunguzi zaidiAmani iwe nanyi....
Naomba msaa ndugu zangu ni miezi miwili sasa Korodani yangu Moja upande wa kulia Ina kauvimbe kadogo kaguma kasiko na maumivu, Hii hali inanifikirisha sana
Doctors naombeni msaada wenu
Nakazia...TUNAKUOMBA uende hospital tafadhari.Naomba uende hospitali kwa uchunguzi zaidi
Usifanye mchezo na pumbu dogo, jiwahishe hospitaliAmani iwe nanyi....
Naomba msaa ndugu zangu ni miezi miwili sasa Korodani yangu Moja upande wa kulia Ina kauvimbe kadogo kaguma kasiko na maumivu, Hii hali inanifikirisha sana
Doctors naombeni msaada wenu
Mkuu ni dalili ya maradhi ya ngiri ya mshipa aka ngiri maji hiyo, ukienda hospitali utafanyiwa operesheni hutaki kufanyiwa operesheni nitafute mimi kwa wakati wako ili niweze kukutibia uguwa pole mkuu.Amani iwe nanyi,
Naomba msaada ndugu zangu, ni miezi miwili sasa korodani yangu moja upande wa kulia ina kauvimbe kadogo kagumu kasiko na maumivu. Hii hali inanifikirisha sana
Doctors naombeni msaada wenu.
Kwanini ulichukua sheria mkononi kwa kutumia mafuta ya upako?Amani iwe nanyi,
Naomba msaada ndugu zangu, ni miezi miwili sasa korodani yangu moja upande wa kulia ina kauvimbe kadogo kagumu kasiko na maumivu. Hii hali inanifikirisha sana
Doctors naombeni msaada wenu.
Amani iwe nanyi,
Naomba msaada ndugu zangu, ni miezi miwili sasa korodani yangu moja upande wa kulia ina kauvimbe kadogo kagumu kasiko na maumivu. Hii hali inanifikirisha sana
Doctors naombeni msaada wenu.