Sasa wewe mwenyewe unatakiwa kuzalishwa, utamzalishaje mwenzio.
zubedayo...MaleKuna kawimbo fulani nadhani ni ka Tanga International kanaimba...... "Zubeda wa *****, Mimi nakutafuta, Zubeda u wapiee, watu wanasema yupo city"....... (napata tabu kukutafuta zubeda kila mahali mjini tanga nimepita zubedaaaa.....) Hahahahaaaa zubeeeda bin Davi bin Cameroon....
Wewe ni ME/KE?
Nijibu coz mada yako na jina lako vinanichanganya napata kigugumizi cha kuchangia!!!
Kidume cha mbegu hakuna kike hapa
sasa hapa unataka usaidiwe nini?
jamani yamenikuta mke wa mpangaji ametokea kunipenda na mpaka kuniweka wazi kuwa hataki mahusiano yoyote ila niwe tayari akiwa kwenye siku za kushika UJAUZITO,Ndo tukutane kuitumia hyo siku vizuri.
Then tusifahamiane tena hata mtoto akizaliwa nisitegemee kufahamu hilo,kwani akijigundua tu Ana mimba alinambia atamlazimisha Mme wake waende mi itakuwa ngumu kufahamu walipo.
Nimeonywa nisipotekeleza ntakiona cha mte makuni.
Njia panda wana JF.
Labda tumsaidie kumkumbusha hiyo 'siku ya kushika UJAUZITO'
kwani we zubeda jike dume? mbona mnatuchanganya humu JF? mi nilijua zubeda ni mwali kumbe .....au umeandika hili bandiko ukimuwakilisha mtu mwingine? fafanua tafwazali!!!!