zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
- Thread starter
- #41
Inawezekana mkuu,huyo mama ana ngoma! Au humuoni alivyo.....anataka kukudakisha wewe na mkeo! Shauri yako.
Inawezekana mkuu,huyo mama ana ngoma! Au humuoni alivyo.....anataka kukudakisha wewe na mkeo! Shauri yako.
..kama lengo la huyo mama ni kumfichia SIRI mmewe tafadhari mpe DUDU..bt ikatokea tayari ana watoto/mtoto nakwambia kuna cku utakuja utafunwe MATUTA yako hadi ukome,mke wa m2 sumu,eti ataenda mbali!!!..THUBUTU ukitoa copy yako tu mmewe atakujia,c ajabu na mie nkaalikwa kwenye shughuli nakuambia UTAJUTA KUJIFANYA KIDUME KWA WAKE ZA WATU..
Ana mtoto mmoja.Sasa mbona jina lako ni la 'Ke? Anyway, ushauri wangu ni huu. Nomba kufahamu kama huyo mpaji wako ana mtoto au watoto wengine. Kama hana ujue anamfichia siri mume wake maana bunduki ina risasi za maji; hivyo, kiubidamu toa huo msaada. LAKINI KUMBUKA KWENDA NAYE ANGAZA KABLA YA HUO UFIRAUNI. Aidha, kama wana mtoto/watoto epuka hiyo kitu matokeo yake sio mazuri, inawezekana baada ya kumpa mimba atakulazimisha kufanya kitendo kingine maana tayari atakuwa amekufunga. Akikulazimisha kujengea nyumba au kumpatia mtaji wa biashara kwa masharti ya kutunza siri?. Lakini kumbuka mla vya wenzike na vyake huliwa.
Kaa pemben wenye timamu ubongo watashauri,Itakua ngumu kupata michango ya ukweli,unless umetoa maelezo ya kutosha kuhusu id yako!
jamani yamenikuta mke wa mpangaji ametokea kunipenda na mpaka kuniweka wazi kuwa hataki mahusiano yoyote ila niwe tayari akiwa kwenye siku za kushika UJAUZITO,Ndo tukutane kuitumia hyo siku vizuri.
Then tusifahamiane tena hata mtoto akizaliwa nisitegemee kufahamu hilo,kwani akijigundua tu Ana mimba alinambia atamlazimisha Mme wake waende mi itakuwa ngumu kufahamu walipo.
Nimeonywa nisipotekeleza ntakiona cha mte makuni.
Njia panda wana JF.
Huo ni uongo wa mchana, kwanza inaonekana unatembea nae huyo mke wa mpangaji mwenzako halafu umevungia ulipoleta maada ili usionekane shetwani.
Ushauri achana na wazo na huyo mwanamama kwani damu ya mtu huwa haijifichi. Anaweza kuzaliwa mtoto copyright na wewe halafu mume akatilia mashaka wakaenda kwenye DNA akaumbuka huyo mwanamke na hatimaye kuachika.
Baada ya hapo anaweza kukusumbua umuoe wakati wewe hakuwa chaguo lako bali tamaa na uroho ndiyo vilivyokusukuma.
Ni jukumu lako kupima ujidanganye nafsi yako mwenyewe kwa kumkubalia ujinga wake huyo mwanamke.
Kuhusu vitisho cha utakiona cha mtema kuni nadhani ni gia iliyotaka kuwaaminisha wanaJF kuwa upo katika wakati mgumu kumbe hakuna lolote. Hivi mkuu,unaweza kweli kutishiwa na mwanamke kuwa usipotembea nae utakiona cha mtema kuni ukaogopa! Huo ujasiri kaupata wapi huyo mama wa kukulazimisha usipokula tunda lake utakiona!! Ni wanawake wachache sana wanaoweza mambo kama hayo labda awe wa level ya umalaya tena awe amekubuhu!!!
Sasa unataka tukushauri uzae nae tu ama? maana kama ungekua hutaki hicho atakacho sidhani ungejiuliza mara mbili mbili
Zubedayo.ni jina langu,mi ni mgogo wa mvumi.
tata c aina ya gar,kwani Wewe Nani?Mheshimiwa naona kama hujajibu swali la msingi. Umeulizwa kama jinsia yako ni ya Ke/Me wewe unajibu kwa kutueleza jina lako kwa kirefu na kabila lako na unapotoka. Kwa mtindo huu ndio maana division zero haziishi mashuleni.
UnachokionaSasa unataka tukushauri uzae nae tu ama? maana kama ungekua hutaki hicho atakacho sidhani ungejiuliza mara mbili mbili
jamani yamenikuta mke wa mpangaji ametokea kunipenda na mpaka kuniweka wazi kuwa hataki mahusiano yoyote ila niwe tayari akiwa kwenye siku za kushika UJAUZITO,Ndo tukutane kuitumia hyo siku vizuri.
Then tusifahamiane tena hata mtoto akizaliwa nisitegemee kufahamu hilo,kwani akijigundua tu Ana mimba alinambia atamlazimisha Mme wake waende mi itakuwa ngumu kufahamu walipo.
Nimeonywa nisipotekeleza ntakiona cha mte makuni.
Njia panda wana JF.