n
nalog off
si tukae chini tuyamalize jamani?hahahhaaaaaaaaaa loh! kama husikii mm nikufanyeje sasa
umeona eee asingeenda huko fbKama kweli anampenda asingeenda FB kutafuta wadada,akiahidiwa mechi ataikataa????????????
Ila nahisi ni wewe mwenye tatizo,si useme tuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.Mpige chini fasta kabla hajakugea kale ka ugonjwa ketu.
Ningekuwa mimi hata nisingejiuliza mara mbili mbili. Hapo ni kupiga chini fasta.
hahahhaaaaaaaaaaaaaa umuulie nn sasa.nalog off
hahhahaaaaaaaaaa jieleze kwann unataka usamehewe sasa.
kibutiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii tu hapa no way out.nalog off
hahhahaaaaaaaaaa jieleze kwann unataka usamehewe sasa.
kibutiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii tu hapa no way out.nalog off
nalog off
log off basihahahhahaaaaaaaaaaaaaaa mwaka wako huuu babuuuuuuuuuuu
naona unajaribu kulifundisha jua kuwaka sio?Chuoni siyo mahali pa kufanya mapenzi, kila mmoja azingatie shule kwa maslahi yake mwenyewe na familia yake kwa ujumla.