Mara nyingi tatizo ni OS, kama ina muda mrefu sana au kuna mafaili yameharibiwa jaribu kubadili window inaweza tatua tatizo.Wana JF naomba msaada PC yangu hapa iki sleep basi hata nikibonyeza mara moja power button haiwaki inataka niizime kwa (hardpowerOffbutton) ndio iwake tena.Tafadhali mwenye idea anisaidie hapa