mshamu
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 418
- 133
Wataalamu hili limekaaje? Jana nilizima computer yangu aina ya DELL(Ya kawaida siyo lap top) vizuri tu. Leo nawasha haiwaki inaonyesha taa ya njano kwenye eneo la power inawaka waka haibadililki kuwa kijani kuonyesha kuwa power iko sawa na pia haipo stand by yani haiwaki kabisa. Nadhani nimejieleza vizuri toka asubuhi nawasha nazima mambo yale yale. Ushauri tafadhali.