Msaada wa chakula toka USA ni kuichafua Tanzania

Haya ni maoni yangu, nyuma ya huu msaada lazima kuna jambo ambalo hatulijui..

Wasiwasi wangu ni kwamba usalama wa hiki chakula upoje , kwanini kiletwe toka marekani?

Kwanini hawaja taka kuja kununua Tanzania ambapo kuna mchele kibao, hadi wautoe marekani?

Unaweza kuta jumla ya fedha zilizo tumika ni sawa na kujenga barabara toka dar hadi mlanzi, au kujenga hospitali 5 kama za benjamini mkapa.dodoma. kwanini wasilete fedha kusaidia maendeleo.

Siku moja niliwasikia wajeda wa JWTZ wanazungumza huko dodoma kwenye mashamba yao wakisema wanashiriki shughli za kilimo kwa sababu ni sehemu ya ulinzi na usalama wa nchi, mnaweza poteza nchi kwa kutumia chakula..

Pia nahisi kwamba marekani inaitangazia dunia kwamba Tanzania tuna afya mgogoro na njaa kama somalia au sudani wakati mahindi na michele i aozea shambani huko kilombero.. hapa nimemkumbuka Magufuli, asinge kubali haya mambo.

Tanzania sio maskini n wala hatuna njaa, tunauwezo wa kutoa msaada wa chakula hata marekani.. RIP Magufuli..

Tunaomba waziri bashe aje ajibie swala hili, imekuaje wapokee mchele huo, kwanini wasingeleta fedha hata kama wanasema kuna virutubisho.

Taifa salama ni lile linalo jitisheleza kwa chakula.

View attachment 2935710
Marekani iliwahi kulisha chakula shule zote za Tanzania, hawakuishia hapo tu, wakatulisha yanga watanzania wote.
 
Haya ni maoni yangu, nyuma ya huu msaada lazima kuna jambo ambalo hatulijui..

Wasiwasi wangu ni kwamba usalama wa hiki chakula upoje , kwanini kiletwe toka marekani?

Kwanini hawaja taka kuja kununua Tanzania ambapo kuna mchele kibao, hadi wautoe marekani?

Unaweza kuta jumla ya fedha zilizo tumika ni sawa na kujenga barabara toka dar hadi mlanzi, au kujenga hospitali 5 kama za benjamini mkapa.dodoma. kwanini wasilete fedha kusaidia maendeleo.

Siku moja niliwasikia wajeda wa JWTZ wanazungumza huko dodoma kwenye mashamba yao wakisema wanashiriki shughli za kilimo kwa sababu ni sehemu ya ulinzi na usalama wa nchi, mnaweza poteza nchi kwa kutumia chakula..

Pia nahisi kwamba marekani inaitangazia dunia kwamba Tanzania tuna afya mgogoro na njaa kama somalia au sudani wakati mahindi na michele i aozea shambani huko kilombero.. hapa nimemkumbuka Magufuli, asinge kubali haya mambo.

Tanzania sio maskini n wala hatuna njaa, tunauwezo wa kutoa msaada wa chakula hata marekani.. RIP Magufuli..

Tunaomba waziri bashe aje ajibie swala hili, imekuaje wapokee mchele huo, kwanini wasingeleta fedha hata kama wanasema kuna virutubisho.

Taifa salama ni lile linalo jitisheleza kwa chakula.

View attachment 2935710
Ndio ukiongozwa na mtu mwenye utumwa wa kifikra ndo madhara yake haya
 
Je, unadhani USA iliota? Au kuna watu walienda kulialia njaa,wakidhani watapewa pesa! Msemo wa mtu hapa wanunulie ma Bus na vitu vingine! Hao hao mngewaachia stoo zao wapeleke majumbani kwao.
 
Mm nadhani tujikite kuipongeza serikali ya awamu ya sita chini ya mama hodari Samia kufanikisha mlo.
2025 mama apite bila uchaguzi
Vijana wa siku hizi hawawezi kujua. Miaka ya nyuma hii misaada kutoka Marekani ilikuwepo sana mashuleni. Kulikuwa na shayiri, unga wa njano na mafuta ya karanga. Yote yalikuwa yamechorwa hiyo lebo ya watu wanapeana mkono. Hili siyo jambo jipya.
 
Marekani iliwahi kulisha chakula shule zote za Tanzania, hawakuishia hapo tu, wakatulisha yanga watanzania wote.
Ewaa. Wewe unajua. Nakumbuka dada na kaka zangu kula hivyo vyakula. Kuna mjomba wangu alikuwa ni mpishi wa shule na walikuwa wanagaiwa hiyo misaada. Nakumbuka kulikuwa na galoni za mafuta ya karanga, vigunia vya unga wa njano na shayiri (nafaka kama mchele lakini ina rangi ya brown)
 
Vijana wa siku hizi hawawezi kujua. Miaka ya nyuma hii misaada kutoka Marekani ilikuwepo sana mashuleni. Kulikuwa na shayiri, unga wa njano na mafuta ya karanga. Yote yalikuwa yamechorwa hiyo lebo ya watu wanapeana mkono. Hili siyo jambo jipya.
Si vyema lakini watu kuzoezwa kupewa tu bule
 
Haya ni maoni yangu, nyuma ya huu msaada lazima kuna jambo ambalo hatulijui..

Wasiwasi wangu ni kwamba usalama wa hiki chakula upoje , kwanini kiletwe toka marekani?

Kwanini hawaja taka kuja kununua Tanzania ambapo kuna mchele kibao, hadi wautoe marekani?

Unaweza kuta jumla ya fedha zilizo tumika ni sawa na kujenga barabara toka dar hadi mlanzi, au kujenga hospitali 5 kama za benjamini mkapa.dodoma. kwanini wasilete fedha kusaidia maendeleo.

Siku moja niliwasikia wajeda wa JWTZ wanazungumza huko dodoma kwenye mashamba yao wakisema wanashiriki shughli za kilimo kwa sababu ni sehemu ya ulinzi na usalama wa nchi, mnaweza poteza nchi kwa kutumia chakula..

Pia nahisi kwamba marekani inaitangazia dunia kwamba Tanzania tuna afya mgogoro na njaa kama somalia au sudani wakati mahindi na michele i aozea shambani huko kilombero.. hapa nimemkumbuka Magufuli, asinge kubali haya mambo.

Tanzania sio maskini n wala hatuna njaa, tunauwezo wa kutoa msaada wa chakula hata marekani.. RIP Magufuli..

Tunaomba waziri bashe aje ajibie swala hili, imekuaje wapokee mchele huo, kwanini wasingeleta fedha hata kama wanasema kuna virutubisho.

Taifa salama ni lile linalo jitisheleza kwa chakula.

View attachment 2935710
Virutubisho vyenye chembechembe za upinde hatutaki!
Uyu Bibi bila kufanya utaratibu wa kumuondoa kwenye kiti Kuna siku tutajuta!
 
Hivi,hiyo marekani watu wake wote wanajitosheleza,kiasi cha kulima au kununua vyakula,na kusafilisha bule kuja Afrika? Wema gani? Huruma gani!
Dunia hii,marekani tu ndo inazalisha chakula kingi na kusaza kwa ajili ya wa Afrika?
Russia na Ukraine mbona ngano zao hawatoi bure?
Mbona hawawapelekei wakimbizi na nchi zenye shida ya chakula!!
 
Ewaa. Wewe unajua. Nakumbuka dada na kaka zangu kula hivyo vyakula. Kuna mjomba wangu alikuwa ni mpishi wa shule na walikuwa wanagaiwa hiyo misaada. Nakumbuka kulikuwa na galoni za mafuta ya karanga, vigunia vya unga wa njano na shayiri (nafaka kama mchele lakini ina rangi ya brown)
Wewe lazima utakua ni choko au wanakupanda! Mwanaume kabisa unafurahia kulishwa na wakati ardhi unayo hatuna ukame .
Hamna mwanaume hapa.
 
Moja; Beggars are not Choosers
Mbili: Duniani hakuna cha Bure hata ukikipata kuna mtu anakilipia....; Hivyo katika mchakato mzima kuna watu wanapiga pesa either NGO fulani huko USA ambapo hii ni kuonyesha kwamba tumefanya hiki au kile
Tatu: Huenda huko kuna surplus hivyo kuliko kuoza ni bora leo wawape misaada ili kesho na wao wakija kuomba / au kuwaambia hiki au kile mikatae (leo nikikupa Chumvi kesho ni vigumu kuninyima sukari au Milo)
Nne: Unasema kuichafua ni bora watu wachafuke wakiwa matumbo yameshiba au wafe njaa wakiwa wasafi (Kwahio lawama zako ziwafikie Serikali na si vinginevyo)
Tano: Siku hizi Miradi ndio MIRADI, hivyo hapo kuna wanaofaidika USA pesa ikiwepo inakatwa Kodi ila ukiipeleka kwenye Charity zako inaweza ikawa deducted kwenye Kodi - Hivyo ni Bora utoe ufadhiri sehemu na kupata good publicity...
Mwisho: Swali zuri ni kweli tuna njaa au hatuna njaa kujifanya tuna shibe wakati watu tuna njaa pia itakuwa uzezeta (Kwahio tupunguze Uchawa na kuishurutisha Serikali ifanye kazi yake)
 
Wataweka virutubisho ambavyo vitawafanya watoto wawe choko. What is that to you? Waache watoto wale,washibe.
Ujue,hii siyo mara ya kwanza Wamarekani wanawaletea watoto chakula. Zamani waliwahi kuleta 'bulga',ule unga wa manjano.
Halafu,fikiria,wapo watu wanaandamana barabarani wanasema,"Hakuna sukari. Bashe anataka tufe kwa njaa."
 
Haya ni maoni yangu, nyuma ya huu msaada lazima kuna jambo ambalo hatulijui..

Wasiwasi wangu ni kwamba usalama wa hiki chakula upoje , kwanini kiletwe toka marekani?

Kwanini hawaja taka kuja kununua Tanzania ambapo kuna mchele kibao, hadi wautoe marekani?

Unaweza kuta jumla ya fedha zilizo tumika ni sawa na kujenga barabara toka dar hadi mlanzi, au kujenga hospitali 5 kama za benjamini mkapa.dodoma. kwanini wasilete fedha kusaidia maendeleo.

Siku moja niliwasikia wajeda wa JWTZ wanazungumza huko dodoma kwenye mashamba yao wakisema wanashiriki shughli za kilimo kwa sababu ni sehemu ya ulinzi na usalama wa nchi, mnaweza poteza nchi kwa kutumia chakula..

Pia nahisi kwamba marekani inaitangazia dunia kwamba Tanzania tuna afya mgogoro na njaa kama somalia au sudani wakati mahindi na michele i aozea shambani huko kilombero.. hapa nimemkumbuka Magufuli, asinge kubali haya mambo.

Tanzania sio maskini n wala hatuna njaa, tunauwezo wa kutoa msaada wa chakula hata marekani.. RIP Magufuli..

Tunaomba waziri bashe aje ajibie swala hili, imekuaje wapokee mchele huo, kwanini wasingeleta fedha hata kama wanasema kuna virutubisho.

Taifa salama ni lile linalo jitisheleza kwa chakula.

View attachment 2935710
Na kile kinachopelekwa Gaza? Wazungu siyo wachawi km nyie
 
Hakuna jinsi ya kuwadunisha watu kama kuwapa chakula cha bure. Licha ya nchi yetu kua na chakula cha kutosha adui atataka akupe chakula na kukufanya kuamini huna uwezo kujilisha.

Sijui hii awamu yenye vichwa kama cha yule kipara kibaraka wa ubeberu anayejiamini bure wanaelewa hili.

Kama taifa nchi inayotaka kutupa chakula cha bure tuwe wapole na kuwaeleza shida yetu nyingine kama wanataka kutupa vya bure ili kutufanya tuamini sisi ni maskini na ni watu wa kusaidiwa tu.
Thats a fact!

Na kuongeza matusi kwenye kidonda, taarifa ya Marekani imesema ni "mchele ulioongezwa virutubisho."

Translation: Genetically Modified Foods

Wamarekani wanajua Samia Suluhu is a lightweight, hana uwezo wa kuchambua pumba na mchele, hana balls and wherewithal za kumhoji Mzungu. Na hakuna kichwa hata kimoja serikalini kitahoji ni lini, toka lini, tumeruhusu mazao yaliyobadilishwa vinasaba ????
 
Lengo kuu la msaada ni kukufanya uwe mzembe na usiweze kujitegemea ili siku moja uje kutawaliwa kwa kuwa hutoweza kujitetea mbele ya mtu anayekulishia familia yako na ukimbishia au kumgomea anachotaka anakunyima chakula sasa hapo lazima upate pressure kutoka kwa famila yako maana wanao pia watakuwa wamelemaa hawajui namna ya kutafuta chakula.
 
Hizo chanjo zimesha anza kufanya kazi.. matatizo kibao.. hormon balance ni issue siku hizi, watoto wa kiume kurembua kama mwanawamali wa pemba sio poa
Labda mtoto wako tu,Mimi watoto wangu wote wamepata chanjo zote zinazotakiwa na wana afya njema sana serikali haiwezi kuruhusu viletwe vitu vinavyoweza kudhuru wananchi wake iwe madawa,chakula nk.na ndio maana Kuna idara au taasisi zinazo shughulika na ukaguzi wa hivyo vitu na hiyo ndio kazi ya serikali yetu pendwa .
 
Back
Top Bottom