Mtoto wa Kishua
JF-Expert Member
- Oct 15, 2009
- 834
- 151
Kufuatia lile tangazo lao la Banjuka na TTCL nime nunua Modem pamoja na kununua vocha ya sh 50.000 , sikwenda na laptop yangu, walicho kifanya ni kuni ingizia vocha , na kujaribu kuhakikisha kuwa imeingia kwa ku nipigia simu yangu hapo hapo, sikupokea nikakata.
Ajabu kufika home kucheki salio nakuta 37,000 , nikatumia net kwa saa moja tuu , nikaondoka, narudi sasa hivi nakuta salio ni 27,000 .
Sasa najiuliza je nilitakiwa ku register kwenye Banjuka package au nikwamba ukisha nunua hii modem ni automatically umeingia kwnye banjuka, maana hawakuniambia kama kuna namna ya ku register na service hi ya banjuka ambayo unaweza tumia kuanzia 500 mbaka 1000 kwa saa ,kutegemeana na wakati unaoingia kwnyemtandao. Nimejaribu kuwapigia TTCL lakini hakuna jibu simu inaita tuu.
Ajabu kufika home kucheki salio nakuta 37,000 , nikatumia net kwa saa moja tuu , nikaondoka, narudi sasa hivi nakuta salio ni 27,000 .
Sasa najiuliza je nilitakiwa ku register kwenye Banjuka package au nikwamba ukisha nunua hii modem ni automatically umeingia kwnye banjuka, maana hawakuniambia kama kuna namna ya ku register na service hi ya banjuka ambayo unaweza tumia kuanzia 500 mbaka 1000 kwa saa ,kutegemeana na wakati unaoingia kwnyemtandao. Nimejaribu kuwapigia TTCL lakini hakuna jibu simu inaita tuu.