Hii kitu sidhani ka ipo kwenye vyuo vingine...ila ka unaenda kusoma DIT au Mzumbe ambapo unasoma certificate ukifaulu vizuri unaweza kujiunga na degree hapo bila kusoma diploma.
Wenye kujua waje humu wakusaidie jamani. Ila nadhani inawezekana. Mbona watu wengine huwa wanaomba kwenda chuo kwenye sell forms,badala ya kwenda advance?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.