acha utani we TECNO simu kiwango
tecno ni kiwango uki compare na Simu gan mkuu?
acha utani we TECNO simu kiwango
Fanya 40 mkuu unachukua dumbbells zako kesho bila shida
ndio hii naitumia kukoment hapa,P40 hii yangu inatatizo la memory card kucheza,unaweza kutumia km three hr,ikaandika memory card removed,inaniboa KATIKA hali hii,Mara ya kwanza nilizani imeregea,nikajaribu kuibana,lakini imeendelea hivyo,mfano hapa imeshatoka,ninazima simu dk kazaa,nikiwasha inakua poa,ikikaa inajirudia
Mimi nimeachana nao sasa nimehamia Tecno C8Hata yangu ilikuwa na tatizo hilo. Niliiformat kwa kutumia computee, kwa kuichomeka kwenye card reader. Nina miezi kama miwili tatizo halijajirudia tena.
Pia tatizo jingine ni betri. Lilivimba na kuacha kukaa na chaji. Walinizingua kubadilisha ikabidi nisuke betri jingine. Saivi mambo poa tu.
Hapo hadi usuke. Mi mwenyewe nilisumbuka sana.MWENYE BETRI YS P40 HIZI ZA STAR TIMES NAHITAJI ANIUZIE AU WAP NAWEZA NUNUA KWA URAHISI