MSAADA: TIBA YA KELOID

mpalu

JF-Expert Member
Sep 15, 2010
2,521
870
Wakuu kuna hili tatizo linalotupata baadhi ya watu ambapo kovu huendelea kuongezeka baada ya kidonda kupona na kuwa uvimbe.Hasa makovu ya mabegani,mashavuni,kifuani. Makovu haya wakati mwingine huambana na muasho na maumivu.Na mara nyingi ukifanya upasuaji huwa zinarudi tena. Kwa anayefahamu tiba yake au mtaalamu anayetibu msaada please!
keloid 2.jpg
keloid.jpg
 
Aise hii
Wakuu kuna hili tatizo linalotupata baadhi ya watu ambapo kovu huendelea kuongezeka baada ya kidonda kupona na kuwa uvimbe.Hasa makovu ya mabegani,mashavuni,kifuani. Makovu haya wakati mwingine huambana na muasho na maumivu.Na mara nyingi ukifanya upasuaji huwa zinarudi tena. Kwa anayefahamu tiba yake au mtaalamu anayetibu msaada please!
View attachment 2342208View attachment 2342209
Hii balaa tupu nasikia kuwa wanafanya upasuaji na kuanza kutibia toka hapo mwanzo...kuna injections unakuwa unachoma
 
Wakuu kuna hili tatizo linalotupata baadhi ya watu ambapo kovu huendelea kuongezeka baada ya kidonda kupona na kuwa uvimbe.Hasa makovu ya mabegani,mashavuni,kifuani. Makovu haya wakati mwingine huambana na muasho na maumivu.Na mara nyingi ukifanya upasuaji huwa zinarudi tena. Kwa anayefahamu tiba yake au mtaalamu anayetibu msaada please!
View attachment 2342208View attachment 2342209
Huu ugonjwa hauna tiba mpak sasa , Ila kuna njia unaweza tumia kupunguza tatizo na hata kurudi 0% , but hata ikiisha itakuwa inatokea mara Kwa mara,..... Tatizo hili Kwa asilimia kubwa lipo Africa , na chanzo kikuu ni reaction ya ngozi inayoweza sababishwa na upasuaji , mashine za saloon zinazochimbua nywele ( hasa Kwa wenye ngozi ambazo ni sensitive) , inheritance n.k, tatizo hili hujitokeza hasa kuanzia umri wa miaka 28 +

kuna njia nyingi za kutibu
1. Pressure release
2.Surgery
3.Injection
4.Gas
5.cream

Kwa upande wa injection mara nyingi wanatumia Triamcinolone, inachomwa pale pale kwenye kelloids , mara moja Kwa mwez au baada ya wiki tatu kulingana na ukubwa wa tatizo ....

Zaidi ya yote muone daktar wa ngozi Kwa maelekezo zaid
 
Wakuu kuna hili tatizo linalotupata baadhi ya watu ambapo kovu huendelea kuongezeka baada ya kidonda kupona na kuwa uvimbe.Hasa makovu ya mabegani,mashavuni,kifuani. Makovu haya wakati mwingine huambana na muasho na maumivu.Na mara nyingi ukifanya upasuaji huwa zinarudi tena. Kwa anayefahamu tiba yake au mtaalamu anayetibu msaada please!
View attachment 2342208View attachment 2342209
Pole,
Kama uko DSM au karibu na hapo, mwone Cosmetic surgeon/Daktari maalumu wa kurekebisha umbile kwa upasuaji. Kwa Muhimbili nafahamu yupo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom