paschal majune
Member
- Nov 11, 2015
- 43
- 1
Meno yangu yanachimbika. Nimejaribu kusukutua mara tatu kwa Siku lakini bado tatizo linaendelea dawa mbalimbali za meno nimetumia lakini bado.
Meno yangu yanachimbika. Nimejaribu kusukutua mara tatu kwa Siku lakini bado tatizo linaendelea dawa mbalimbali za meno nimetumia lakini bado.
Dawa gani ? ni n Zuri zaidi ya meno.