Jokia
Member
- Feb 18, 2015
- 93
- 178
Habari zenu wakuu!
Kama kichwa cha habari kinavyosema, tablet yangu imezima ghafla tu haiwaki tena. Ni mpya kabisa imetumika kama wiki 2 tu. Ilizima yenyewe ikiwa katika matumizi ya kawaida na ilikua na chaji ya kutosha. Nimejaribu kuiwasha mara kadhaa lakini imeshindikana kabisa kuwaka. Je tatizo linaweza kuwa nini?? Je nifanye nini ili kuirudisha katika hali ya kawaida? Asante
Kama kichwa cha habari kinavyosema, tablet yangu imezima ghafla tu haiwaki tena. Ni mpya kabisa imetumika kama wiki 2 tu. Ilizima yenyewe ikiwa katika matumizi ya kawaida na ilikua na chaji ya kutosha. Nimejaribu kuiwasha mara kadhaa lakini imeshindikana kabisa kuwaka. Je tatizo linaweza kuwa nini?? Je nifanye nini ili kuirudisha katika hali ya kawaida? Asante