Msaada tafadhalin kwa anayejua km huu ni ugonjwa au ni tatizo gani!!!!!

Cantalisia

JF-Expert Member
Sep 26, 2011
5,222
2,929
Habari zenu wapendwa,

Jaman nina wifi yangu hapa amepatwa nna hali ya ajabu amenishirikisha ila na mie mshamba kwa hili hata siielewi kitu nimeamua kuliwahisha humu ili mtuusaidie!

Ameolewa mwezi januari na hakuwahi kutumia dawa za uzazi wa mpango na wakawa wanafanya siku zote bila kuepuka siku za hatari lengo lao ikiwa ni kupata mtoto,cha kushangaza mimba iakawa haishiki na anapata period km kawaida,

Wakajipanga mwezi uliopita wa saba wafanye siku sahihi za kushika mimba,kwa maelezo yake wakafanya siku ya 11,13 na 14 na kweli mezi mzima wa saba hakupata period akawa kafurahi akijua kanasa cha kushangaza tarehe 3.8.12 ikiwa ni siku ya 38 akaamua kupima kuhakikisha km kweli kanasa majibu yakawa hana mimba ile hali na period hakupata!

Akiwa bado anatafakari gafla jana tarehe 7/08/12 period ikaanza na maumivu yale yale km ya siku zingine anapokua period,sasa amechanganyikiwa na hali hii ambayo hajawahi kukutana nayo hatuelewi ni ugonjwa au ni hali ya kawaida ambayo hua inatokea au ni dalili za kuwa na matatizo ya kupata ujauzito au ni nini hiki!

Msaada tafadhali kwa madokta na wenye ufaham wa hili,

Nawasilisha.
 
Kwanini asiende kwa obstetrician? Unajua sometimes the human mind can "convince your body" to behave in a certain (desired) way. Bora akapime Kila kitu aambiwe shida ni nini.
 
Kwanini asiende kwa obstetrician? Unajua sometimes the human mind can "convince your body" to behave in a certain (desired) way. Bora akapime Kila kitu aambiwe shida ni nini.
Asante Roulette ni kweli kbs ngoja pakuche nimshauri aende akamwone Dokta husika ili kumaliza huu utata!
 
Last edited by a moderator:
Wabongo nature ya uongo ipo damuni,hata leo ukimuomba mtu shs 10,000 atakuambia sina,baadala ya kukuambia sikupi!kwa hiyo mtoa hoja kusema ni wifi yake anataka ushauri ni kawaida kwa wa Tz.
 
Ni jambo la kadawia hilo,kumbe mnaishi vizuri sana na wifi yako mpaka kukuelezea matatizo yake eh? Ngastuka machale kundesa!
 
Kwa mie nijuavyo haya mambo ya mimba yanasumbua mwili sana ukiyatia katika mawazo. Na wanasemaga ukifikiria sana sana kama yeye anavyofanya mimba huwa hainasi.
Mwambie akae na kuishi bila kufikiria jambo la kupata mimba kila siku yaani aache kuwa desperado hivyo as inamuaffect mengine mwilini.

Akiwa analalana mwambie aenjoy mambo kama kawa asiwe anafikiria mimba wakati wa shughuli as inaelekea anafikiria na uondo unakosekana.

Re kutoka ktk siku mie naona mawazo yanamuafecti. Mie sio doc.

Mimba kutoshika amuone doc pia na mengine ila pia ajisaidie kupunguza mawazo. Pia bedrest zasaidia wengine, inategemea na mimba zake zinatokaje na wakati gani. mara nyingi wengi huwa hawapati sababu hata ma doc wanakuwa hawajui, wanabakia kukuambia wanacho guess. Sala muhimu.
 
Ni jambo la kadawia hilo,kumbe mnaishi vizuri sana na wifi yako mpaka kukuelezea matatizo yake eh? Ngastuka machale kundesa!

Umenifanya nicheke mie, umenikumbusha drama za mawifi za watu wanaosukuma women kwa makaka ili wapate watoto nje ya ndoa au hata kushauri mke aachwe.
 
Wabongo nature ya uongo ipo damuni,hata leo ukimuomba mtu shs 10,000 atakuambia sina,baadala ya kukuambia sikupi!kwa hiyo mtoa hoja kusema ni wifi yake anataka ushauri ni kawaida kwa wa Tz.

Asante ww wa ng'ambo mwenye damu ya usema kweli,asante kwa kujiongezea idadi ya post zako na kuonekana umeandika point!
 
Kwa mie nijuavyo haya mambo ya mimba yanasumbua mwili sana ukiyatia katika mawazo. Na wanasemaga ukifikiria sana sana kama yeye anavyofanya mimba huwa hainasi.
Mwambie akae na kuishi bila kufikiria jambo la kupata mimba kila siku yaani aache kuwa desperado hivyo as inamuaffect mengine mwilini.

Akiwa analalana mwambie aenjoy mambo kama kawa asiwe anafikiria mimba wakati wa shughuli as inaelekea anafikiria na uondo unakosekana.

Re kutoka ktk siku mie naona mawazo yanamuafecti. Mie sio doc.

Mimba kutoshika amuone doc pia na mengine ila pia ajisaidie kupunguza mawazo. Pia bedrest zasaidia wengine, inategemea na mimba zake zinatokaje na wakati gani. mara nyingi wengi huwa hawapati sababu hata ma doc wanakuwa hawajui, wanabakia kukuambia wanacho guess. Sala muhimu.

Asante mzurimie kwa ushauri mwaya,ww umenielewa!
 
Last edited by a moderator:
Sasa hapo aanze kukupa history yake....kabla hajaolewa!
ikana.
Mentor nadhan haya ataongea na dokta maana hata akinieleza mie sijui chochote cha kumsaidia,kwa vile tayari wameshaenda hospitali hope ufumbuzi utapat
 
Last edited by a moderator:
Habari zenu wapendwa,

Jaman nina wifi yangu hapa amepatwa nna hali ya ajabu amenishirikisha ila na mie mshamba kwa hili hata siielewi kitu nimeamua kuliwahisha humu ili mtuusaidie!

Ameolewa mwezi januari na hakuwahi kutumia dawa za uzazi wa mpango na wakawa wanafanya siku zote bila kuepuka siku za hatari lengo lao ikiwa ni kupata mtoto,cha kushangaza mimba iakawa haishiki na anapata period km kawaida,

Wakajipanga mwezi uliopita wa saba wafanye siku sahihi za kushika mimba,kwa maelezo yake wakafanya siku ya 11,13 na 14 na kweli mezi mzima wa saba hakupata period akawa kafurahi akijua kanasa cha kushangaza tarehe 3.8.12 ikiwa ni siku ya 38 akaamua kupima kuhakikisha km kweli kanasa majibu yakawa hana mimba ile hali na period hakupata!

Akiwa bado anatafakari gafla jana tarehe 7/08/12 period ikaanza na maumivu yale yale km ya siku zingine anapokua period,sasa amechanganyikiwa na hali hii ambayo hajawahi kukutana nayo hatuelewi ni ugonjwa au ni hali ya kawaida ambayo hua inatokea au ni dalili za kuwa na matatizo ya kupata ujauzito au ni nini hiki!

Msaada tafadhali kwa madokta na wenye ufaham wa hili,

Nawasilisha.

Ana umri gani? kwa mimi cases nyingi za namna hiyo nimeziona kwa wamama wenye fibroades(sina hakika na spelling). Naamini kama amechelewa kidogo kuzaa lakini mimi sio specialist.
 
Back
Top Bottom