Msaada jamani huu ni ugonjwa gani?

Mbane

Senior Member
Jun 6, 2022
178
417
Kuna ndugu yangu alifanya maamuzi fulani yaliyopelekea kumletea matatizo na akapitia kipindi kigumu sana.

hali iliyopelekea kuwa na mawazo kupita kiasi.

Sasa akiwa katika kipindi hicho kuna siku alihisi kama vitone vya maji vinamwagika kichwani mwake na vikawa vinashuka mpaka kwenye paji la uso.!

Kuanzia siku hiyo kadri siku zilipokuwa zinasogea akaanza kuhisi misuli ya uso inavuta na kuachia, watu wakaanza kuhisi labda alirushiwa sijui uchawi ikabidi akapambane kweny maombi wapi, hali ikaendelea kuwa mbaya tu.

Akajaribu kwa waganga napo hamna kitu, akienda hospitali wakipima hawaoni ugonjwa wowote.

Sasa hivi hali imekua mbaya zaidi maana imefikia hatua kuna muda midomo yake inatetemeka kwa kucheza cheza yenyewe tu.

hasikii maumivu ila hiyo hali inamnyima raha na kumfanya awe mtu wa kukaa peke yake tu. Hapendi kuchangamana na watu sababu ya hali hiyo.

Nimeleta humu pengine kuna wajuvi wanaweza kuwa wanaelewa tatizo ni nini? Na linaweza kutibiwa wapi

Ahsanteni wakuu
 
Mwambie ajifanye kama hamna chochote kinachomtokea...maana majibu sahihi ashapewa ...hana tatizo ...hivyo hana tatizo kweli
 
Ukitaka ufumbuzi/msaada hakikisha unajieleza kwa uwazi.

Ni maamuzi gani hayo fulani aliyoyafanya? Hapa kuna wataalamu wa saikolojia na hicho ndicho kiini cha tatizo ambacho hujaweka wazi.
 
Kuna ndugu yangu alifanya maamuzi fulani yaliyopelekea kumletea matatizo na akapitia kipindi kigumu sana.

hali iliyopelekea kuwa na mawazo kupita kiasi.

Sasa akiwa katika kipindi hicho kuna siku alihisi kama vitone vya maji vinamwagika kichwani mwake na vikawa vinashuka mpaka kwenye paji la uso.!

Kuanzia siku hiyo kadri siku zilipokuwa zinasogea akaanza kuhisi misuli ya uso inavuta na kuachia, watu wakaanza kuhisi labda alirushiwa sijui uchawi ikabidi akapambane kweny maombi wapi, hali ikaendelea kuwa mbaya tu.

Akajaribu kwa waganga napo hamna kitu, akienda hospitali wakipima hawaoni ugonjwa wowote.

Sasa hivi hali imekua mbaya zaidi maana imefikia hatua kuna muda midomo yake inatetemeka kwa kucheza cheza yenyewe tu.

hasikii maumivu ila hiyo hali inamnyima raha na kumfanya awe mtu wa kukaa peke yake tu. Hapendi kuchangamana na watu sababu ya hali hiyo.

Nimeleta humu pengine kuna wajuvi wanaweza kuwa wanaelewa tatizo ni nini? Na linaweza kutibiwa wapi

Ahsanteni wakuu
Mwambie msongo wake was mawazo ume stretch misuli ya uso hadi kiwango Cha mwisho Cha misuli hiyo!!

Yaani anapata stroke ya misuli hiyo!!

Aanze kufanya mambo mapya yatakayomletea furaha kama massage Toka Kwa warembo katika saloon zao ili aondoe mawazo!!
 
A
Kuna ndugu yangu alifanya maamuzi fulani yaliyopelekea kumletea matatizo na akapitia kipindi kigumu sana.

hali iliyopelekea kuwa na mawazo kupita kiasi.

Sasa akiwa katika kipindi hicho kuna siku alihisi kama vitone vya maji vinamwagika kichwani mwake na vikawa vinashuka mpaka kwenye paji la uso.!

Kuanzia siku hiyo kadri siku zilipokuwa zinasogea akaanza kuhisi misuli ya uso inavuta na kuachia, watu wakaanza kuhisi labda alirushiwa sijui uchawi ikabidi akapambane kweny maombi wapi, hali ikaendelea kuwa mbaya tu.

Akajaribu kwa waganga napo hamna kitu, akienda hospitali wakipima hawaoni ugonjwa wowote.

Sasa hivi hali imekua mbaya zaidi maana imefikia hatua kuna muda midomo yake inatetemeka kwa kucheza cheza yenyewe tu.

hasikii maumivu ila hiyo hali inamnyima raha na kumfanya awe mtu wa kukaa peke yake tu. Hapendi kuchangamana na watu sababu ya hali hiyo.

Nimeleta humu pengine kuna wajuvi wanaweza kuwa wanaelewa tatizo ni nini? Na linaweza kutibiwa wapi

Ahsanteni wakuu
Alipokosea ni hapa,kuanzia kwenye maombi halafu akaenda kwa waganga,yani hapo kwenye swala la imani huyo ni sifuri kabisa..
 
Mwambie msongo wake was mawazo ume stretch misuli ya uso hadi kiwango Cha mwisho Cha misuli hiyo!!

Yaani anapata stroke ya misuli hiyo!!

Aanze kufanya mambo mapya yatakayomletea furaha kama massage Toka Kwa warembo katika saloon zao ili aondoe mawazo!!
Hii inafanya kazi sema haitochukuliwa uzito mno.
Human body is the fuckiiiin pharmaceutical industry. It produces a lot of chemicals like cortisol,dopamine ,adhd and etc
 
Kuna ndugu yangu alifanya maamuzi fulani yaliyopelekea kumletea matatizo na akapitia kipindi kigumu sana.

hali iliyopelekea kuwa na mawazo kupita kiasi.

Sasa akiwa katika kipindi hicho kuna siku alihisi kama vitone vya maji vinamwagika kichwani mwake na vikawa vinashuka mpaka kwenye paji la uso.!

Kuanzia siku hiyo kadri siku zilipokuwa zinasogea akaanza kuhisi misuli ya uso inavuta na kuachia, watu wakaanza kuhisi labda alirushiwa sijui uchawi ikabidi akapambane kweny maombi wapi, hali ikaendelea kuwa mbaya tu.

Akajaribu kwa waganga napo hamna kitu, akienda hospitali wakipima hawaoni ugonjwa wowote.

Sasa hivi hali imekua mbaya zaidi maana imefikia hatua kuna muda midomo yake inatetemeka kwa kucheza cheza yenyewe tu.

hasikii maumivu ila hiyo hali inamnyima raha na kumfanya awe mtu wa kukaa peke yake tu. Hapendi kuchangamana na watu sababu ya hali hiyo.

Nimeleta humu pengine kuna wajuvi wanaweza kuwa wanaelewa tatizo ni nini? Na linaweza kutibiwa wapi

Ahsanteni wakuu
Mkuu ninahisi huyo jamaa atakuwa ni wewe mwenyewe hebu nitafute kwa wakati wako ili niweze kukutibia maradhi yako upate kupona uguwa pole.
 
Back
Top Bottom