mysteryman
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 977
- 176
Ndugu wana jamvi naomba kujuzwa sheria ya kumuhamisha mtu katika makazi yake kima cha chini kabisa ni kumlipa shilini ngapi? Na vigezo gani vinaangaliwa kwa ujumla unapomtoa mtu katika makazi yake ya kudumu? Makazi halali kabisa? Naombeni msaada waungwana kwani hili jambo limekua likinitatiza sana toka kijiji chetu kuhamishwa kumekuwa na kesi kibao za malipo nk